Mbona Kikwete hafanyi ziara mkoa wa Mara?

Mbona Kikwete hafanyi ziara mkoa wa Mara?

Marwa Chacha

Senior Member
Joined
Feb 5, 2015
Posts
102
Reaction score
51
Ni zaidi ya miaka mitano sasa rais wetu JK hajafika mkoa wa Mara kufanya ziara yoyote ya kukagua miradi zinazoendelea haswa Musoma Mjini.

Kuna mradi mbali mbali Kama hosipitali ya kwangwa mradi wa maji Bukanga,barabara kuu ya kuingia Musoma Mjini njia mbili, pia miradi mbali mbali hapa.
 
mkuu sasa hivi tunatembelea sehemu ambazo tuna viburudisho huko
 
Sasa mara atafuata nn mapanga anaenda sehemu ambayo akifika bwana mkubwa alali njaa baana
 
Anaogopa laana ya the late JKN!!!
 
Mikoa bado hajatembelea arusha,manyara,mtwara kwetu,Singida,Lindi atakuja jamaniii tulieni
 
Sasa mara atafuata nn mapanga anaenda sehemu ambayo akifika bwana mkubwa alali njaa baana

Mapanga yapo kila kona Nchini na Rais hawezi kulala njaa kokote anakokwenda hata kama Wilaya nzima haina chakula
 
Rais anaenda kila mkoa atafika mara tu kwani wana mara Jk anawapenda sana hata kwenye Utawala wake amewapa nafasi kubwa.
 
Back
Top Bottom