Mbona kama Dualis zinaanza kushuka?

Mbona kama Dualis zinaanza kushuka?

dyuteromaikota

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
5,936
Reaction score
8,345
Kuna habari gani?
 

Attachments

  • Screenshot_20230506-191932_Chrome.jpg
    Screenshot_20230506-191932_Chrome.jpg
    104 KB · Views: 73
Kazi yangu ni kuuza magari but mteja akinipaga option ya kumchagulia gari huwa naiweka mbal sana hyo gari sabab lawama dakika 2 tu

mwanangu kaigiaza kwa 21m
Aliweka mafuta hizi petro station uchwara

Ikaana kumiss,mara chech engine gari imebadilika total

Kaambiwa mafuta machafu

Asee wenye dualis kuweni makini na fuel
 
Back
Top Bottom