Mbona Jezi zao km za Kike au nimeona vibaya?

Funguo yapotea taifa toka jana mpaka leo haijaonekana kambini na kocha le professor wa mchongo kachanganyikiwa.
 
Jezi marangi rangi, aka coral paint,aka mkeka wa kinyakyusa.
 
Nimeangalia jezi zao zote naona ni za akina Mobeto na Paula. Ntashangaa kukutana na dume zima limevaa.Aibuu tu!
Hawa ndo mashabiki wa Tanzania, kizuri ni cha kwao tu. Mnachosha wanaojua ushabiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…