Habari wana Jf,
Nlimkosea mpenzi wangu ni muda sisi umepita nilikiri kosa na kuomba msamaha nikimshirikisha mpaka dadayake wiifi angu badae alikubali msamaha wangu mambo yakaisha.
Mwaka mmoja baadae ghafla alibadilika nikimtmia sms hajibu nukimpigia hapokei, nikamtumia sms vipi mbona kimya hata ukikuta missed call hunitafuti?
Alichojibu ni yale yale ya mwaka juzi ndio mana ipo ivo, je ana mapenzi tena na mimi? Kuna sababu ya mimi kuendelea kuomba msamaha.
Naombeni ushauri wenu
Nlimkosea mpenzi wangu ni muda sisi umepita nilikiri kosa na kuomba msamaha nikimshirikisha mpaka dadayake wiifi angu badae alikubali msamaha wangu mambo yakaisha.
Mwaka mmoja baadae ghafla alibadilika nikimtmia sms hajibu nukimpigia hapokei, nikamtumia sms vipi mbona kimya hata ukikuta missed call hunitafuti?
Alichojibu ni yale yale ya mwaka juzi ndio mana ipo ivo, je ana mapenzi tena na mimi? Kuna sababu ya mimi kuendelea kuomba msamaha.
Naombeni ushauri wenu