Boko haram
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 3,256
- 1,232
@Njano5 a.k.a Dotto C. Rangimoto ni Punguani tunayepaswa kumpuuza na kumuonea huruma kwa kuwa hajitambui.
Yuko kwenye kiza totoro.
Pamoja wa kupuuzwa nae ni betlehem Boko haram abakorakamo na Nyakarungu
Taifa kwanza, chama baadae...
Hakuna la zaidi
kaKWAMBIA NANI KUWA MIMI ACT??? AU WATAKA NIOWE ACT???
Taifa kwanza, chama baadae...
Hakuna la zaidi
@Njano5 a.k.a Dotto C. Rangimoto ni Punguani
@Njano5 a.k.a Dotto C. Rangimoto ni Punguani tunayepaswa kumpuuza na kumuonea huruma kwa kuwa hajitambui.
Yuko kwenye kiza totoro.
Pamoja wa kupuuzwa nae ni betlehem Boko haram abakorakamo na Nyakarungu
hata mtukane, na mtaweweseka sana wazee wa chopa 3 kata 3. zile zilikuwa ni salamu tu za alfajiri.umeliwa kisamvu????
hata mtukane, na mtaweweseka sana wazee wa chopa 3 kata 3. zile zilikuwa ni salamu tu za alfajiri.
hujielewi we msukule
Walipoona mbogo ni mkali sana na mtata sana wakaamua kujiita Mbogo, walipoona simba amekuwa mfalme wa nyikani na mbabe kwa akina mbogo, wakaamua kujiita Simba, haya sasa ACT imekuja kama tufani iliyopandwa na upepo wa kihafidhina, je, hawa watu watajiita ACT?
Pamoja na hayo, hivi kwa umakini, umahiri na uhodari wa Dr. Wilbroad Slaa laiti angepata fursa aliyokuwa kaiomba CCM angekuwa waziri mzigo sasa? HAPANA, asingekuwa mzigo, iweje sasa hawa wengine watabiriwe kuwa hivyo ikiwa ndio kwanza safari imeanza? Muda ndio kila kitu, na mwenye kushua chombo lazima aseme na pepo kwanza.
TAIFA KWANZA, CHAMA BAADAE.
Njano5.
0784845394.
Sawa Nesi.
HUYU NDIO PUNGUANI, ANA TOBO RASINI.
View attachment 142741
Nani anita punguani?
Wewe mlala jaani?
Kilaza wa Ufipani,
Zukule la kaskazini
Zukule la kaskazini,
Ndiye hasa punguani,
Una matobo kichwani,
Una wazimu rasini.
Timu ya Ufipani,
Nyota wake nyani,
Mzee wetu Makani,
Akumbukwa si utani.
Slaa wa Kinondoni,
Ni vampaya jamani,
Yu dhaifu kwa Satini,
Muasi wa kanisani
Mi nikiwa Punguani,
Slaa atakuwa nani?
Alokimbia kanisani,
Kwa kushikwa ugoni,
Kwa kushikwa ugoni,
Akakimbia kanisani,
Kazamia bungeni,
Kaibukia Ufipani,
Kaibukia Ufipani,
Huyu Bwana fanani,
Uchumba waisha lini?
Ndoa atafunga lini?
Ndoa atafunga lini?
Au ni TIMU KUZINI?
Tumpeleke Magogoni,
Huyu Padri fanani?
Huyu Padri ni fanani,
Katu si mtu makini,
Tena tusimuamini,
Afadhali ya Nyani.
Wamtaka punguani?
Mwenye matobo rasini?
Alotoka kanisani,
Kaibukia Bungeni
Kaibukia bungeni,
Huyo ndio punguani,
Hana cha mno rasini
Ana matobo kichwani.
Ana matobo kichwani,
Kaacha demuye ndani,
Kaenda zake kuzini,
Kwa kahaba Josefini,
Kwa kahaba Josefini,
Aso na haya usoni
Mwenye mke kabaini,
Kaingizwa mjini.
Hajaenda Magogoni,
Amekuwa firauni,
Akifika Magogoni,
Atakuwa ni Jununi,
Atakuwa ni Jununi
Tena kubwa Maluuni,
Kuzidi Nduli Amini,
Aso faa kanisani.
Aso faa kanisani,
Na pia msikitini,
Mahala pake jaani,
Autimize uhayawani,
Autimize uhayawani,
Atie ndimi puani,
Kama ngo'mbe bomani,
Au mbuzi wa zizini.
Njano5.
0784845394
Nimeipenda hii..Taifa kwanza, chama baadae...
Hakuna la zaidi
Allience for Coward and Traitorsha ha ha ha,,, chopa tatu,, kata tatu
Umevurugwa punguani wewe
Maishairi ya kishetani hayo, umelipwa tsh ngapi.
ww ndio umevurugwa kama lema....