Enter Passcode
JF-Expert Member
- Mar 1, 2024
- 230
- 481
Habari wakuu,
Husika hapo juu, ni mboga ipi naweza kupika kwa haraka ili niepuke kwenye migahawa
Maana nikirud home nakua nimechoka sana
Asanteni
mboga ya yai fasta sanaMayai 3 ya buku katia nyanya, kitunguu,karoti,na hoho ukipenda halafa kaanga hapo dakk 3 tu na ugali mkubwa, usisahau kuleta ushuhuda hapa jukwaan
Asante mkuuMayai 3 ya buku katia nyanya, kitunguu,karoti,na hoho ukipenda halafa kaanga hapo dakk 3 tu na ugali mkubwa, usisahau kuleta ushuhuda hapa jukwaan
KachumbariChukua kitunguu kanga na nyanya karoti na hoho unagongea na yai dakika kumi haziishi
Sawa sawaSi uoe na ww 😉
NDOA NI UKANDA WA GAZA. cc dronedrakeSi uoe na ww 😉
ugali na maziwa mtindi, siyo lazima kupika mbogaHabari wakuu,
Husika hapo juu, ni mboga ipi naweza kupika kwa haraka ili niepuke kwenye migahawa
Maana nikirud home nakua nimechoka sana
Asanteni
Umemaliza binafsi huwa naongeza na mtindi wa asas ila ni addictive so use at your own riskMayai 3 ya buku katia nyanya, kitunguu,karoti,na hoho ukipenda halafa kaanga hapo dakk 3 tu na ugali mkubwa, usisahau kuleta ushuhuda hapa jukwaan