mbna kwen apps kuna upendeleo

mbna kwen apps kuna upendeleo

jaycobs

Member
Joined
Jan 11, 2013
Posts
28
Reaction score
0
Naona kuna JF application ya blackberry ila cioni ya windows phone au hawawez kupiga code zake nn,
 
mkuu hio apps inaitwa tapatalk si jf walotengeneza.

Hawa tapatalk wanadevelop apps then kama una forum yako ya bulletin una submit then ndo inakua kama unavyoona.

Toka mwezi wa 6 mwaka jana walisema wana develop apps ya wp hadi leo naona zzz sjui hata kama imetoka.
 
Back
Top Bottom