Mbio za ubunge, mchagueni Filikunjombe

Mbio za ubunge, mchagueni Filikunjombe

came

New Member
Joined
May 22, 2015
Posts
3
Reaction score
1
Ndugu zangu watanzania ,has a wana LUDEWA msifanye kosa la kutomchagua Mh.DEO FILIKUNJOMBE ni miongoni mwa MPs wachache ktk JMT ambao wameleta mchango mkubwa sana katika jamii hususani kushiriki na kuchangia shughuli za maendeleo !!

Namlinganisha na wabunge wengine kuntu anastahi kuwa Mp ,ndg wanna jamvi haimaanishi hakuna wengine wanaofanya vizuri ila kwa mtazamo wangu mh.huyu anastahili kupigiwa mfano,kila kheri kwenye mbio za Oct.Hon Deo.
 
Ndugu zangu watanzania ,has a wana LUDEWA msifanye kosa la kutomchagua Mh.DEO FILIKUNJOMBE ni miongoni mwa MPs wachache ktk JMT ambao wameleta mchango mkubwa sana katika jamii hususani kushiriki na kuchangia shughuli za maendeleo !!

Namlinganisha na wabunge wengine kuntu anastahi kuwa Mp ,ndg wanna jamvi haimaanishi hakuna wengine wanaofanya vizuri ila kwa mtazamo wangu mh.huyu anastahili kupigiwa mfano,kila kheri kwenye mbio za Oct.Hon Deo.

Lakini si ni ccm? Ccm weka mbali na watoto
 
Kwa lugha uliyoongea sidhani kama wapiga kura wamekuelewa.....
 
Chagueni mbunge anaye jua shida zenu acheni kichagua pesa
 
Back
Top Bottom