Tajiri Mapesa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2020
- 707
- 699
Habarini wakuu mimi ni kijana mwenzenu sijasomea biology chuo. Lakini nimekua nikihangaika kutafuta dawa zinazo weza kuutokomeza ugonjwa wa COVID 19.
Katika utafiti nilio ufanya nimegundua kwamba ugonjwa wa COVID19 unafanana sana na ugonjwa wa Surua (Measles).
1. Katika utafiti wangu nilianza kulinganisha njia za kuenea; niligundua kwamba njia zinazo eneza ugonjwa wa Surua (Measles) zinafanana na njia zinazo eneza ugonjwa wa COVID 19.
2. Pia katika utafiti wangu nililinganisha dalili za COVID19 na dalili za Surua( measles); Katika utafiti huo niligundua dalili za ugonjwa wa COVID19 zinafanana na dalili za ugonjwa wa Surua (measles).
3. Mara baada ya kugundua huo ulinganifu; nilipata hamu ya kujua zaidi vimelea wanao eneza haya magonjwa mawili. Niligundua magonjwa yote mawili yanaenezwa kwa virusi (virus). Ijapo kuwa kirusi anaye eneza COVID19 ana jina tofauti na kirusi anaye eneza Surua (Measles).
4. Mara baada ya kujua hivyo sikuishia hapo, niliamua kufanya utafiti wa maumbo ya kikemikali (chemical structures) ya virusi wanao sababisha COVID19 na Virusi wanao sababisha Surua (measles). Niligundua maumbo yao ya kikemikali (chemicals structures) yanafanana sana.
Hiyo ndio chemical structure formula ya COVID19
Hitimisho: Ndipo nilipogundua kwamba mbinu zote zilizotumika kuitokomeza surua (measles)zinaweza kutumika kuitokomeza COVID19. Kwa hiyo kama kuna mtu yeyote anayo dawa inayoweza kutibu surua (measles) dawa hiyo inaweza kutibu COVID19. Pia kama kuna mtu ana dawa ya kinga (vaccine) ya surua, dawa hiyo inaweza kutumika kama kinga ya COVID19. Pia kama kuna mtu anaijua mbinu yoyote ya asili iliyo tumika kutibu surua kipindi ambacho kinga na dawa zilikuwa hazija gunduliwa basi mbinu hiyo inaweza kutumika kuitibu COVID19.
Wakuu tafadhari naombeni tulichunguze hili kwa undani, ili tupate kujua zaidi.
Ahsanteni : kama kuna mtu ana ushauri juu ya hili basi unakaribishwa kutoa ushauri.
References (marejeo)
Mbona kama SURUA anafanana na CORONA? Hebu soma hapa - JamiiForums ( Tajiri Mapesa March 25 2020)
Ugonjwa wa Surua (Measles): Chanzo, maambukizi, dalili, athari, matibabu na kinga - JamiiForums
Measles: Symptoms, Diagnosis, and Treatments
Could the MMR vaccine help protect against coronavirus complications?
Scientists Are Using The Measles Vaccine to Develop a 'Trojan Horse' Against COVID-19
https://www.businessinsider.com/french-scientists-using-measles-vaccine-against-covid-19-2020-4?amp
Scientists suggest MMR vaccine 'could protect against coronavirus - after BCG trials start'
Could the MMR vaccine help protect against coronavirus complications?
Scientists Are Using The Measles Vaccine to Develop a 'Trojan Horse' Against COVID-19
https://www.businessinsider.com/french-scientists-using-measles-vaccine-against-covid-19-2020-4?amp
Scientists suggest MMR vaccine 'could protect against coronavirus - after BCG trials start'
29% Similarity Between Coronavirus and Rubella Virus Can Help MMR Vaccine Fight Off COVID-19: Study
Katika utafiti nilio ufanya nimegundua kwamba ugonjwa wa COVID19 unafanana sana na ugonjwa wa Surua (Measles).
1. Katika utafiti wangu nilianza kulinganisha njia za kuenea; niligundua kwamba njia zinazo eneza ugonjwa wa Surua (Measles) zinafanana na njia zinazo eneza ugonjwa wa COVID 19.
2. Pia katika utafiti wangu nililinganisha dalili za COVID19 na dalili za Surua( measles); Katika utafiti huo niligundua dalili za ugonjwa wa COVID19 zinafanana na dalili za ugonjwa wa Surua (measles).
3. Mara baada ya kugundua huo ulinganifu; nilipata hamu ya kujua zaidi vimelea wanao eneza haya magonjwa mawili. Niligundua magonjwa yote mawili yanaenezwa kwa virusi (virus). Ijapo kuwa kirusi anaye eneza COVID19 ana jina tofauti na kirusi anaye eneza Surua (Measles).
4. Mara baada ya kujua hivyo sikuishia hapo, niliamua kufanya utafiti wa maumbo ya kikemikali (chemical structures) ya virusi wanao sababisha COVID19 na Virusi wanao sababisha Surua (measles). Niligundua maumbo yao ya kikemikali (chemicals structures) yanafanana sana.
Hiyo ndio chemical structure formula ya COVID19
Hitimisho: Ndipo nilipogundua kwamba mbinu zote zilizotumika kuitokomeza surua (measles)zinaweza kutumika kuitokomeza COVID19. Kwa hiyo kama kuna mtu yeyote anayo dawa inayoweza kutibu surua (measles) dawa hiyo inaweza kutibu COVID19. Pia kama kuna mtu ana dawa ya kinga (vaccine) ya surua, dawa hiyo inaweza kutumika kama kinga ya COVID19. Pia kama kuna mtu anaijua mbinu yoyote ya asili iliyo tumika kutibu surua kipindi ambacho kinga na dawa zilikuwa hazija gunduliwa basi mbinu hiyo inaweza kutumika kuitibu COVID19.
Wakuu tafadhari naombeni tulichunguze hili kwa undani, ili tupate kujua zaidi.
Ahsanteni : kama kuna mtu ana ushauri juu ya hili basi unakaribishwa kutoa ushauri.
References (marejeo)
Mbona kama SURUA anafanana na CORONA? Hebu soma hapa - JamiiForums ( Tajiri Mapesa March 25 2020)
Ugonjwa wa Surua (Measles): Chanzo, maambukizi, dalili, athari, matibabu na kinga - JamiiForums
Measles: Symptoms, Diagnosis, and Treatments
Could the MMR vaccine help protect against coronavirus complications?
Scientists Are Using The Measles Vaccine to Develop a 'Trojan Horse' Against COVID-19
https://www.businessinsider.com/french-scientists-using-measles-vaccine-against-covid-19-2020-4?amp
Scientists suggest MMR vaccine 'could protect against coronavirus - after BCG trials start'
Could the MMR vaccine help protect against coronavirus complications?
Scientists Are Using The Measles Vaccine to Develop a 'Trojan Horse' Against COVID-19
https://www.businessinsider.com/french-scientists-using-measles-vaccine-against-covid-19-2020-4?amp
Scientists suggest MMR vaccine 'could protect against coronavirus - after BCG trials start'
29% Similarity Between Coronavirus and Rubella Virus Can Help MMR Vaccine Fight Off COVID-19: Study