Hamna kitu nachukia Kama dharau babu[emoji1] [emoji1] [emoji4] [emoji122] [emoji122]
ngoja nikamchukulie haipati tena
umenifungua akili mkuu.....
Ni kweli tena hawa Dada zetu dharau zao mbaya sana unaweza hata kumuua hivi hivi.....??Hamna kitu nachukia Kama dharau babu
kAmBa!!Hili suala la simu kumbe wengi wamepitia teh teh teh teh...
Kuna demu nilimuhonga iPhone 6 new brand sasa baada ya miezi 4 akawa hapokei simu zangu wala meseji hajibu ila whatsapp namuona online, fb kama kawa
Nikimuuliza anajibu eti yuko bize na kazi, sasa sijui ubize wa kazi ya kuchati na grupu za whatsapp,
Nikaona isiwe tabu sikumtafuta tena nikamuacha awe bize...!!
Teh teh teh teh sasa si mnajua iphone hazina adabu kama huna hela.
Imemuharibikia kutengeneza hawezi itabidi anitafute oooh baby umenisusa sijui nn nikamwambia niache kwani niko bize na mimi.
Teh teh teh teh teh....
Ujinga mimi sipendi.
kwamba simu zao ni differ from other!Ni kweli mkuu....
ila niliamua nimuache koz ameifadhi ndani kwake,
naweza nikaichukua any time kwa madai ya kumtengenezea then
nikaichukua mazima au nimfungulie I.D na password niweke zangu.
Yaani hapo ndipo ninapowakubali apple ( iPhone ) simu zao ni differ from other...
haswa kwa warembo wenye nyodo na majivuno kama huyu mwehu niliyemuhonga...teh teh teh teh...
Ndio iPhone mfumo wake tofauti na simu nyingine yeyote duniani...kwamba simu zao ni differ from other!
Mkuu ulivyoielezea kwa hisia inaonekana yalishakukuta. Anyway wacha walizwe tu maana hamna jinsi sasa unakuta mtu anataka awe na wasichana more than 1 at once inakuwaje hapo pia mwengine kila sehem unaomba no tu sasa ukiibiwa utamlaumu nani wakati hela umetuma mwenyewe bila kulazimishwaWana JF kwetu sisi tunaopenda kutongoza hovyo inabidi tuache tabia hiyo, siku hizi wasichana wana mitego ili uwatongoze na wajipatie hela halafu ana sepa, mwingine ukimtongoza hakatai anajifanya kama hana jibu muda huo, wanajiandaa kuwa na line ya simu ambayo haijasajiliwa kwa majina yao na hiyo ndio atakayokupa ukimuomba, au anayo yenye majina yake lakini haitumii sana ni kwa kazi maalum kama hiyo, anakuacha ujipendekeze kuwa unampenda sana, unaendelea kumtumia mesage anasubiri kama wiki hivi badae anakuomba msaada pesa anayojua utatoa ukitoa anajua zipo, usipotoa anakutolea makavu, baada ya siku kadhaa anachomeka tena ukikubali kutoa basi, humpati tena anazima iyo line ukimtafta fb anakwambia simu imepotea au imeingia kwenye maji hana simu, ukimnunulia simu halafu unamuomba unyumba anakuzungusha ukisumbua ana ku block fb. Ukimfatilia anaanza matusi eti huna aibu kuwafuatilia wake za watu. Hii imewaliza wengi. Na wengi wanashidwa kudai mali na simu walizohonga. Kwann tusikome tuachane na hii tabia maana tutapoteza sana na kuishia maumivu.
WAPE HONGERAWana JF kwetu sisi tunaopenda kutongoza hovyo inabidi tuache tabia hiyo, siku hizi wasichana wana mitego ili uwatongoze na wajipatie hela halafu ana sepa, mwingine ukimtongoza hakatai anajifanya kama hana jibu muda huo, wanajiandaa kuwa na line ya simu ambayo haijasajiliwa kwa majina yao na hiyo ndio atakayokupa ukimuomba, au anayo yenye majina yake lakini haitumii sana ni kwa kazi maalum kama hiyo, anakuacha ujipendekeze kuwa unampenda sana, unaendelea kumtumia mesage anasubiri kama wiki hivi badae anakuomba msaada pesa anayojua utatoa ukitoa anajua zipo, usipotoa anakutolea makavu, baada ya siku kadhaa anachomeka tena ukikubali kutoa basi, humpati tena anazima iyo line ukimtafta fb anakwambia simu imepotea au imeingia kwenye maji hana simu, ukimnunulia simu halafu unamuomba unyumba anakuzungusha ukisumbua ana ku block fb. Ukimfatilia anaanza matusi eti huna aibu kuwafuatilia wake za watu. Hii imewaliza wengi. Na wengi wanashidwa kudai mali na simu walizohonga. Kwann tusikome tuachane na hii tabia maana tutapoteza sana na kuishia maumivu.
pole sana mkuu! wamekuliza hadi simu!!Wana JF kwetu sisi tunaopenda kutongoza hovyo inabidi tuache tabia hiyo, siku hizi wasichana wana mitego ili uwatongoze na wajipatie hela halafu ana sepa, mwingine ukimtongoza hakatai anajifanya kama hana jibu muda huo, wanajiandaa kuwa na line ya simu ambayo haijasajiliwa kwa majina yao na hiyo ndio atakayokupa ukimuomba, au anayo yenye majina yake lakini haitumii sana ni kwa kazi maalum kama hiyo, anakuacha ujipendekeze kuwa unampenda sana, unaendelea kumtumia mesage anasubiri kama wiki hivi badae anakuomba msaada pesa anayojua utatoa ukitoa anajua zipo, usipotoa anakutolea makavu, baada ya siku kadhaa anachomeka tena ukikubali kutoa basi, humpati tena anazima iyo line ukimtafta fb anakwambia simu imepotea au imeingia kwenye maji hana simu, ukimnunulia simu halafu unamuomba unyumba anakuzungusha ukisumbua ana ku block fb. Ukimfatilia anaanza matusi eti huna aibu kuwafuatilia wake za watu. Hii imewaliza wengi. Na wengi wanashidwa kudai mali na simu walizohonga. Kwann tusikome tuachane na hii tabia maana tutapoteza sana na kuishia maumivu.
e nawe unadhani watu wote ni sawa kila mmoja kwa kamba yake bwanaBro mbona kama umetufix hapa yaani unahonga demu Iphone 6 ......kirahisirahisi tu unamuhonga.
Mkuu nipe Sifa zake tatuMafala pekee ndio huliwa kizembe hivyo...yaani mwanamke muuzaji huwa sichukui round kumtambua..