Mzee wa fact
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 247
- 229
Wanajamvi wiki kadhaa zilizopita niliwaelezea mazingira magumu nilioyapata baada ya mzazi mwenzangu kupata mwenza nakuniwekea vizingiti vya mawasiliano akitaka niwasiliane na yeye(mume) kwa ishu zinazohusu mtoto kitu ambacho sikuridhika nacho
Nlichokifanya nilimpigia simu mama mtoto nakumuulizia hali ya mtoto kwa upole baada ya kujibu hajambo nkarusha hera kubwa kidogo nkamuambia mnunulie maziwa alafu nkakaa kimya siku mbili yatatu kanchek mwenyewe baada ya salamu nkamrushia tena kijiheraaa Jana nimemuambia jumamosi aje nnapoishi na mtoto nimuone kakubali bila kipingamizi
Nlichokifanya nilimpigia simu mama mtoto nakumuulizia hali ya mtoto kwa upole baada ya kujibu hajambo nkarusha hera kubwa kidogo nkamuambia mnunulie maziwa alafu nkakaa kimya siku mbili yatatu kanchek mwenyewe baada ya salamu nkamrushia tena kijiheraaa Jana nimemuambia jumamosi aje nnapoishi na mtoto nimuone kakubali bila kipingamizi