Si muda mrefu tangu nirud nyumban kwa mapumziko.
Wakat huo huo mbunge wangu Mh.Mwakyembe naye yuko mapumzikon huku jimbon kwake ambako amekuwa akija ktk vpnd vya mwishon mwa mwaka pekee.
Mpaka sasa,miaka 8 ndan ya mjengo ahad yake kubwa ya kujenga barabara itokayo Njia panda ya Tenende mpaka Matema beach haijakamilika.Imejengawa kpande cha km 3 wakat ni barabara ya km kama 25 hv.
Amekuja na mkakat wa danganya toto wa kugawa pkpk na baiskel kwa vjana na mapesa meng meng.
Ahad zake zote ni hewa mpaka sasa,miaka 2 imebak,kajipima na kutambua kuwa aliowadanganya wana macho.
Kwa sasa vjiwe vya vjana hapa mjin ni habar za muheshimiwa tu,kagawa pkpk 1 kwa vjana 20.Afanyayo sasa wala hakuyahaid,maendeleo ya baiskel!!!!,mwaga chumv,sukar na vtenge kwa akina mama.
Muheshiwa karud na njia mpya ya kurud mjengoni.
Wakat huo huo mbunge wangu Mh.Mwakyembe naye yuko mapumzikon huku jimbon kwake ambako amekuwa akija ktk vpnd vya mwishon mwa mwaka pekee.
Mpaka sasa,miaka 8 ndan ya mjengo ahad yake kubwa ya kujenga barabara itokayo Njia panda ya Tenende mpaka Matema beach haijakamilika.Imejengawa kpande cha km 3 wakat ni barabara ya km kama 25 hv.
Amekuja na mkakat wa danganya toto wa kugawa pkpk na baiskel kwa vjana na mapesa meng meng.
Ahad zake zote ni hewa mpaka sasa,miaka 2 imebak,kajipima na kutambua kuwa aliowadanganya wana macho.
Kwa sasa vjiwe vya vjana hapa mjin ni habar za muheshimiwa tu,kagawa pkpk 1 kwa vjana 20.Afanyayo sasa wala hakuyahaid,maendeleo ya baiskel!!!!,mwaga chumv,sukar na vtenge kwa akina mama.
Muheshiwa karud na njia mpya ya kurud mjengoni.