Mbinu mpya za kujisafisha

Mbinu mpya za kujisafisha

mnajitahidi sana kumchafua lakini hachafuki. ameshindwa lowasa pale na pesa zake na sumu zake mtaweza nyie wahuni tu?

tatizo lenu ni kwamba kila anayehoji utendaji wa Mwakyembe jimboni kyela basi ana uhusiano na mafisadi ! How comes ? Mafisadi haiwezi kuwa kinga , lazima tutamng'oa tu , na tutaing'oa ccm yote bila huruma , liwalo na liwe ! Hakuna msafi ndani ya ccm .
 
Sisi wana kyela ndiyo tunaojua upungufu wa Mwakyembe , wa mbali tuachieni kyela yetu , hakuna haja ya kumpa mtu kura za huruma , mwaka jana mpunga ulifika 12000 kwa debe wakati wa mavuno , this term ni 6000 , what a loss ! Tunataka mbunge atakayeleta wanunuzi wanaolipa , tuungane kuing'oa ccm nchi nzima .
 
Leo mnyika amehutubia walevi pale mataa ya ubungo, watu wenye akili timamu wamempuuza. Heri mwakyembe anayegawa pkpk km njugu

hahaaa...kwahiyo na wewe ni mmoja kati ya hao walevi maana na wewe ulienda kusikiliza na ukawatambua walevi wenzio.
 
Leo mnyika amehutubia walevi pale mataa ya ubungo, watu wenye akili timamu wamempuuza. Heri mwakyembe anayegawa pkpk km njugu
mnyika 3.jpg mnyika2.jpg mnyika 1.jpg

Umati huo unawaita hao ni walevi hivi ingekuwa CCM kwa umati huu mngetumia shilingi ngapi kwa uchache?
 
RIP SSM wewe unachuki na CCM na hasa Mwakyembe, km hammtaki acheni ataenda Jimbo lolote na ata[pita tu, hakuna mjinga atakayempinga kwani Bajeti hapangi yeye ni Wabunge wote hata wa Vyama vya upinzani

sasa kwanin atoe ahad ambayo ameshindwa kuishawish serikal kuitimiza? ahad nyingine noma sawa na ile ya maisha bora kwa kila mtanzania ambayo serikal imeshindwa kuweka fursa watu kujiajiri badala yake tunaporwa maeneo wanapewa wagen.shitiiiii..
 
Last edited by a moderator:
Kama aliwaahidi Wananchi kwa mdomo wake hilo ni deni lake No Way short of that!
WanaKyela Muonyesheni huyu msaanii maana cheo alichohongwa kimemfanya ajisahau! Anapambana na bandari wakati waliomchagua wanaomboleza...hovyo kabisa.
 
hana shida ya ubunge huyo, anataka agombee uraisi, ndo maana hana tym
 
Inawezekana Mwakyembe naye hajui majukumu yake.....

Kabisa! Lakini sio Mwakyembe tu bali ni wanasiasa wote wa Tanzania. Tatizo kinapofanyika kitu kizuri cha maendeleo majimboni siku zote wabunge wametaka wananchi waamini kuwa bila hao wabunge kisingefanyika. Sasa hii sifa ya kijinga inakuja na gharama zake... kisipofanyika kitu ambacho mbunge hana uwezo nacho i.e. sio moja ya kazi zake, analaumumiwa kuwa hakufanya, na wapinzani wake wana-take advantage ya kumuumbua ili wao waonekane ni wazuri zaidi. Hii ni kwa wanasiasa wote na wamekuwa wanaitumia hii trick kwa sababu ya uelewa finyu wa wananchi. Sasa mimi huwa napinga sana hii mbinu na nilitegemea kizazi cha sasa chenye uelewa wa mambo kisisombwe na ushabiki huu wa kijinga lakini bado inaoneka wengi bado hatujui/tunapotosha kama inavyoonyesha mwanzishi wa thread.
 
hana shida ya ubunge huyo, anataka agombee uraisi, ndo maana hana tym

hata mimi nimesikia hizo tetesi kwamba anautaka Urais , lakini sasa kama kibaba ( ubunge ) hakikujaa , je ndoo ( urais ) itajaa ?
 
Ulitakiwa utafakari kwanza unachotaka kukiandika. barabara unayoisema imeanza kujengwa unataka ijengwe kwa siku moja??? Hata kama imeshindikana kuendelea kujengwa si katafuta namna nyingine ya lushirikiana na wapiga kura wake? Nayo unaibeza! Wewe siasa kwako ni nini?
 
Back
Top Bottom