try for ur best.u cant change me anymore.jembe afrika.
tulia wewe acha kulilia kama feruzi,mmu ni mtambo wa kurekebisha tabia,ndo maana ukienda wrong tunakurekebisha we mtoto.na log off mimi huyo kalenga ila nitarudi baba yenu badae.
mkuu nina kesi mahakamani sababu ya hiyo post kulaleki! hahahaaa!!
kuna mdau kachomwa mpaka kanitukana vibaya sana!! lolz!
jamani eeeeh come zis weiiii mujioneee ama miwani yangu mibovu? wot is zis?
Extraordinary, HARUFU, Dinazarde, Jawilat
Mkuu Excel,,mbona hiyo post imetulia hadi nimegonga like?Atakuwa Kaguswa huyo!!Anapenda vya bure ehee,au ndio walee waliozoea kulelewa!!Achana naye,hasiyejua maana haambiwi maana!
kama unaona unachunwa, panda gari wewe umfuate huko huko..
halafu ndo uone ukweli uko wapi..!
btw, wewe nae unapotaka papuchi si umemchuna pia?? au sisi wanaume tunachuna nini kutoka kwa wanawake???
Wanawake wengi hapa mjini ukichati nae anakueleza mara yuko mwanza ,mara lindi mara tabora na kukuomba umtumie nauli aje dar.
wote hao wako hapa hapa dar lengo ni kukamua hiyo elfu 40 utakayomtumia na hiyo utakayompa.
Nimekutana na ishu hizi zaidi ya mara tatu. demu kuchukua vinguo viwili kuviweka kwenye begi anakuja na kutokamabibo anajidai katoka mbeya. mmoja kwa kubugu kachukua tax inatoka buguruni naion anajidai katoka ubungo. hii kweli ni hatari.
wadada mkitaka pesa semeni msitumie ujanja.