Mbinu chafu za ushindi wa CCM

Mbinu chafu za ushindi wa CCM

IamPrince George

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2014
Posts
412
Reaction score
168
*CCM YA USHINDI WA MBINU CHAFU WA GOLI LA MKONO.

Nioneshe sana maaikitiko yangu kwa hiki kinachoendelea kufanyika mpaka sasa kikifanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Ni kitendo cha aibu sana kufanywa na Chama kikongwe kama hiki ambacho kimekuwa madarakani kwa takribani miongo mitano. Kitendo hiki ni aibu kubwa sana na kinaonesha jinsi ambavyo kimezeeka kwa kuwa na mbinu si tu kuwa chafu bali mbinu za zamani dhidi ya ushindi katika karne hii ya sayansi na teknolojia.

CCM wameamua kutumia mbinu ya kuchukua kadi (shahada) ya mpiga kura na kunakiri Majina pamoja na namba za wapiga kura ili kuwaondolea haki yao ya kimsingi ya katiba ya kupiga kura.
Star Tv waliwahi kuripoti taarifa hii kutoka Geita na kudhani kama ni siasa ya kuchafuana kipindi hiki cha kuolekea uchaguz mkuu lakini leo nimeamini haya.

Mkoani hapa (Singida) baada ya kufanya uchunguzi nagundua kuwa katika Vijiji vya Puma, Kituntu, Isaranda na baadhi ya vijiji vya Wilaya hii ya Ikungi, baadhi ya wenyeviti wa mitaa wasio waaminifu wamekuwa wakipita katika kaya za wakazi hawa na kuwalaghai kuwa tunaenda kuandaa na kurekebisha taarifa zenu maana inaonekana zimekosewa.

Nikapata kuongea na Bwana Abdallah Juma mkazi wa kijiji cha Puma na kuniambia haya

"Sikuwepo nyumbani, lakini niliporudi mke Wangu "akaniambia kuwa alipita hapa mjumbe na kuniomba shahada ya kupigia kura na kusema kunataarifa anaenda kurekebisha, akachukua kadi na nikaona anaandika jina na namba na kunirudishia",
Ni mbinu chafu ambayo Chama kama hiki hakustahili kuitumia.

"CCM itashinda uchaguzi hata kwa goli la Mkono"
By Nape Nnauye.

Ndugu wananchi, nawaomba msikubali kutoa aka kumpa mtu usiyemwamini shahada yako ya kupigia kura, tuwaondoe madarakani maana wana mbinu nyingi na chafu na za kizamani za kutaka kushinda uchaguzi, jiulize kwa nini lengo lao ni kutaka kushinda tu hata kwa mbinu chafu?, je Ikulu kuna nini, wanataka kwenda kufanya nini mpaka wang'ang'anie kutumia mbinu chafu?

Tunza kadi yako, piga kura yako 25/10/20115 kuiondoa CCM madarakani.

#NinaImaniNaLOWASSA .
 

Attachments

  • 1437685156253.jpg
    1437685156253.jpg
    82.3 KB · Views: 993
Nakumbuka zile milioni 700 zilizokamatwa pale Dodoma wakati wa Uteuzi wa mgombea wao! Watu washenzi namna ile wanaweza kufanya chochote! Tujiandae kisaikolojia kwa ushindi wa goli la mkono kwa kuwa piga ua itakuwa hivyo! Tutafakari kuwa kwa kuwa itakuwa hivyo tufanye nini?!!!
 
*CCM YA USHINDI WA MBINU CHAFU WA GOLI LA MKONO.

Nioneshe sana maaikitiko yangu kwa hiki kinachoendelea kufanyika mpaka sasa kikifanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Ni kitendo cha aibu sana kufanywa na Chama kikongwe kama hiki ambacho kimekuwa madarakani kwa takribani miongo mitano. Kitendo hiki ni aibu kubwa sana na kinaonesha jinsi ambavyo kimezeeka kwa kuwa na mbinu si tu kuwa chafu bali mbinu za zamani dhidi ya ushindi katika karne hii ya sayansi na teknolojia.

CCM wameamua kutumia mbinu ya kuchukua kadi (shahada) ya mpiga kura na kunakiri Majina pamoja na namba za wapiga kura ili kuwaondolea haki yao ya kimsingi ya katiba ya kupiga kura.
Star Tv waliwahi kuripoti taarifa hii kutoka Geita na kudhani kama ni siasa ya kuchafuana kipindi hiki cha kuolekea uchaguz mkuu lakini leo nimeamini haya.

Mkoani hapa (Singida) baada ya kufanya uchunguzi nagundua kuwa katika Vijiji vya Puma, Kituntu, Isaranda na baadhi ya vijiji vya Wilaya hii ya Ikungi, baadhi ya wenyeviti wa mitaa wasio waaminifu wamekuwa wakipita katika kaya za wakazi hawa na kuwalaghai kuwa tunaenda kuandaa na kurekebisha taarifa zenu maana inaonekana zimekosewa.

Nikapata kuongea na Bwana Abdallah Juma mkazi wa kijiji cha Puma na kuniambia haya

"Sikuwepo nyumbani, lakini niliporudi mke Wangu "akaniambia kuwa alipita hapa mjumbe na kuniomba shahada ya kupigia kura na kusema kunataarifa anaenda kurekebisha, akachukua kadi na nikaona anaandika jina na namba na kunirudishia",
Ni mbinu chafu ambayo Chama kama hiki hakustahili kuitumia.

"CCM itashinda uchaguzi hata kwa goli la Mkono"
By Nape Nnauye.

Ndugu wananchi, nawaomba msikubali kutoa aka kumpa mtu usiyemwamini shahada yako ya kupigia kura, tuwaondoe madarakani maana wana mbinu nyingi na chafu na za kizamani za kutaka kushinda uchaguzi, jiulize kwa nini lengo lao ni kutaka kushinda tu hata kwa mbinu chafu?, je Ikulu kuna nini, wanataka kwenda kufanya nini mpaka wang'ang'anie kutumia mbinu chafu?

Tunza kadi yako, piga kura yako 25/10/20115 kuiondoa CCM madarakani.

#NinaImaniNaLOWASSA .
SWALI;Kama mke wako katoa kadi na huyo mjumbe kwa nini hukwenda na huyo mke wako hadi kwa mtendaji na kumuhuliza nini kimetokea hadi kuchukua kadi ya mke wangu na kuchukua ditels? Na kwa nini hukupiga kelele watu waje ili hilo swala mtendaji hajibu ili hiwe mwisho?au wewe ndio umeolewa na huyo mke chuma ulete uko kama zezeta huwezi linda haki ya nchi yako na mke wako.
Kwa hiyo mke wako hana tena haki ya kupiga kura kutokana maelezo yako.

swissme
 
Mkuu ukichoka kukaa nyuma ya keyboard ni bora ukapumzika. Kwani jamaa amesema mke wake? Si ni mke wa mwana kijiji?
 
Nakumbuka zile milioni 700 zilizokamatwa pale Dodoma wakati wa Uteuzi wa mgombea wao! Watu washenzi namna ile wanaweza kufanya chochote! Tujiandae kisaikolojia kwa ushindi wa goli la mkono kwa kuwa piga ua itakuwa hivyo! Tutafakari kuwa kwa kuwa itakuwa hivyo tufanye nini?!!!

Hapana hutakiw kukata tamaa haya ni mapambano! Baba wa taifa nae alikumbana na shida hizi wakati wa ukomboz wa taifa hili lakin alishinda tu japo ccm wanambinu nyingi chafu na mbinu zao zinapelekwa kijijini kwa watu wasio jitambua
 
Kwa taarifa yenu hizi namba huwa tunazipeleka kwa mafundi kuzifanyia tambiko ili uwe kama kondoo, na mara zote wanaochukuliwa namba zao hawakosi kutupa kura kama unabisha fanya uchunguzi. Usidanganyike kuwa wanaenda kukuondoa kwenye orodha ya wapiga kura hilo halipo , tena wewe ambae hawajachukuwa kadi yako ndo ubaweza usipige kura.
 
SWALI;Kama mke wako katoa kadi na huyo mjumbe kwa nini hukwenda na huyo mke wako hadi kwa mtendaji na kumuhuliza nini kimetokea hadi kuchukua kadi ya mke wangu na kuchukua ditels? Na kwa nini hukupiga kelele watu waje ili hilo swala mtendaji hajibu ili hiwe mwisho?au wewe ndio umeolewa na huyo mke chuma ulete uko kama zezeta huwezi linda haki ya nchi yako na mke wako.
Kwa hiyo mke wako hana tena haki ya kupiga kura kutokana maelezo yako.

swissme

Jamaa alisema kuwa baada ya mjumbe kunakiri taarifa alimrudishia kadi, na mpaka namhoji huyo jamaa ndipo akajua kuwa kumbe mjumbe hakuwa na nia njema, linafuatiliwa hili swala
 
SWALI;Kama mke wako katoa kadi na huyo mjumbe kwa nini hukwenda na huyo mke wako hadi kwa mtendaji na kumuhuliza nini kimetokea hadi kuchukua kadi ya mke wangu na kuchukua ditels? Na kwa nini hukupiga kelele watu waje ili hilo swala mtendaji hajibu ili hiwe mwisho?au wewe ndio umeolewa na huyo mke chuma ulete uko kama zezeta huwezi linda haki ya nchi yako na mke wako.
Kwa hiyo mke wako hana tena haki ya kupiga kura kutokana maelezo yako.

swissme

Unajua wana ccm ni mazezeta sana, wao wamezoea kukurupuka na kusema NDIYOOO hawakai kutulia kusikiliza au kusoma na kuelewa ndipo watoe mada. Wewe inamaana hujaona kuwa huyo ni MKE WA BWANA ABDALLAH ambaye mleta thread alimuhoji, siyo mke wake. Acha kuwa mjinga hata kama ujinga ndiyo msingi wa chana chenu, ni bora ukae kimya uache wana ukawa na wananchi wenye uelewa tuzungumze wewe usikilize na utufuate nyuma, usiropoke, usikurupuke, for some people SILENCE is the wisest thing they will say and you are one of those.
 
Back
Top Bottom