Patience123 JF-Expert Member Joined Mar 10, 2013 Posts 5,092 Reaction score 8,786 Aug 30, 2016 #121 asigwa said: Aisee Kiranga yuko wapi.?? Click to expand... Labda azaliwe Kiranga mpya, ila kama ni yule yule hizi kwake ni ndoto za alinacha
asigwa said: Aisee Kiranga yuko wapi.?? Click to expand... Labda azaliwe Kiranga mpya, ila kama ni yule yule hizi kwake ni ndoto za alinacha
kopites JF-Expert Member Joined Jan 28, 2015 Posts 9,751 Reaction score 12,140 Aug 30, 2016 #122 Ha ha haaa!...ulimwengu wa roho hauchunguziki kwa vyombo vya wanadamu.
Kiranga Platinum Member Joined Jan 29, 2009 Posts 85,992 Reaction score 146,308 Aug 30, 2016 #123 Patience123 said: Labda azaliwe Kiranga mpya, ila kama ni yule yule hizi kwake ni ndoto za alinacha Click to expand... Hii niliiona nikaona haijafikia hata level ya kuchangia, nikaipotezea tu. Huwezi kuchangia kila upuuzi, hata kama ni kwa kufundisha tu, utakuwa mpuuzi na wewe.
Patience123 said: Labda azaliwe Kiranga mpya, ila kama ni yule yule hizi kwake ni ndoto za alinacha Click to expand... Hii niliiona nikaona haijafikia hata level ya kuchangia, nikaipotezea tu. Huwezi kuchangia kila upuuzi, hata kama ni kwa kufundisha tu, utakuwa mpuuzi na wewe.
LAMBOFGOD JF-Expert Member Joined Aug 12, 2016 Posts 1,561 Reaction score 1,319 Aug 30, 2016 #124 Nasisitiza tena Mwenyezi Mungu sio nguvu
Iron Lady JF-Expert Member Joined Mar 4, 2008 Posts 4,071 Reaction score 1,380 Aug 31, 2016 #125 mh napata mashaka na hayo waliyoyasema kama wamebuni hivi embu ngoja tuzame kwenye chanzo tukadig wenyewe wanasayansi bana janja janja sana kila siku huwa nasema
mh napata mashaka na hayo waliyoyasema kama wamebuni hivi embu ngoja tuzame kwenye chanzo tukadig wenyewe wanasayansi bana janja janja sana kila siku huwa nasema
LebronWade JF-Expert Member Joined Nov 1, 2010 Posts 1,615 Reaction score 1,510 Sep 2, 2016 #126 Mudawote said: Duh nakuona uko kifungoni, unatoka lini? Click to expand... Namuona dada MudaWote kafungiwa...maajabu...ila ni mnazi mkali sana wa CCM..yeye kutukana wapinzani ni sawa kabisa
Mudawote said: Duh nakuona uko kifungoni, unatoka lini? Click to expand... Namuona dada MudaWote kafungiwa...maajabu...ila ni mnazi mkali sana wa CCM..yeye kutukana wapinzani ni sawa kabisa
Bigbootylover JF-Expert Member Joined Oct 4, 2015 Posts 2,847 Reaction score 1,835 Sep 2, 2016 #127 nzalendo said: Wame Confirm kuna nguvu kubwa inayo Control mambo yote...iko kama sumaku hivi... Click to expand... Huyo ndo Mungu sasa au
nzalendo said: Wame Confirm kuna nguvu kubwa inayo Control mambo yote...iko kama sumaku hivi... Click to expand... Huyo ndo Mungu sasa au
Lavan Island JF-Expert Member Joined Oct 24, 2015 Posts 2,378 Reaction score 2,054 Sep 2, 2016 #128 Binadamu sisi ??