Mbinguni ni wapi?

nimeshakwambia we bado ni mchanga sana kiroho na kimaandiko unahitaji kujifunza zaidi kuliko kubishana kukusaidia tu hapo ulipoandika kuhusu uaskofu na kusomea theology,
uaskofu ni cheo au kazi za kimungu katika biblia kwahiyo hakuna mahali ndani ya biblia inamtaka mtu akasomee uchungaji,ushemasi,uaskofu ,unabii au uinjilisti πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ ni karama Mungu anakupa anakufundisha na anakusimamia hauhitaji the so called "THEOLOGY" kumjua Mungu na kazi zake bali unahitaji Roho mtakatifu wa kukuongoza na kukufundisha,
Angalia biblia inavyosema kuhusu Qualification za Askofu 1Timotheo 3:2-3 "Basi imempasa askofu awe mtu asiyelaumika, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, ajuaye kufundisha; si mtu wa kuzoelea ulevi, si mpiga watu; bali awe mpole; si mtu wa kujadiliana, wala asiwe mwenye kupenda fedha"
Wewe unasema tukasomee THEOLOGY!! hivi vitu vidogo huvijui ndio utalijua swala la Rohoni wewe! we endelea kusomea hayo mavitabu yako
 
Jibu swali acha kukwepa.
 
Dini ni Elimu ya mtu mweupe kumfundisha mtu mwingne kumtii yeye ili aweze kufanya shughuli zake bila kubughudhiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…