BREAKING NUUZ: Polisi wapiga Risasi wananchi Mbeya washindwa tuliza Vurugu.. Sasa zimefika uyole wananchi wanashusha Bendera za CCMBy Edson
kule udsm wafanye kama huku mbeya...mpaka sasa hali ni mbaya...
Jiji la MBEYA limechafuka,hii ni kutokana na mkuu wa mkoa,ABBAS KANDORO kuja na sera ya safisha jiji ambayo wakuu wa mkoa wote waliopita walishindwa kuitekeleza..
Tangu wiki mbili zilizopita alianzisha kampeni hiyo na badae akawahaidi kua atawaruhusu alhamisi lakin jana hakutekeleza ahadi yake hiyo hivo wafanyabiashara wale wakapanga kuanzisha fujo siku ya leo..
BARABARA ZOTE MBEYA MJINI ZMEFUNGWA,MADUKA YOTE NA BIASHARA ZOTE ZIMEFUNGWA,GARI MOJA IMECHOMWA MOTO,MGAMBOM MMOJA AMEUWAWA NA RAIA,POLISI WAWILI WALIOKUA KWENYE GARI WAKIPIGA MABOMU WATU WAMEUMIZWA VIBAYA NA MAWE..
BADO FUJO ZINAENDELEA,WANAUME WAPO MBELE WAMESHIKA MAWE HUKU WANAWAKE WAPO NYUMA WAMESHIKA NDOO ZA MAJI ZA KUNAWA WAKIPIGWA MABOMU YA MACHOZI..
nimeipata hii nimeambiwa uyole hapafai kabisa pmechakazwa sana tuu!Ivi sasa hali mbaya zaidi baada ya fujo hizo kufika uyole hivi sasa barabara kuu hapa uyole imefungwa askari wamefika mabomu yanarindima vibaya da na hs nipo somalia nanatafakali hiv ni nchi gani yenye amani kama tz ndo iko hv
Hii ndiyo lugha inayotakiwa kutumiwa ili serikali ya CCM iweze kusikia.Duuuuh utafikiri tupo Somalia. Tatizo la serikali ya JK kupeleka watu wa system sehemu zote upinzani ulipochukua ili kuidhibiti CDM matokeo yake ndiyo hayo sasa.
duuu hatari sana!Hapa nipo ilomba kuelekea uyole FFU wameambatana na wanajeshi baada ya FFU Kuzidiwa fujo ninyingi mno.
Duuuuh utafikiri tupo Somalia. Tatizo la serikali ya JK kupeleka watu wa system sehemu zote upinzani ulipochukua ili kuidhibiti CDM matokeo yake ndiyo hayo sasa.
ndo hapo wanapoalibu ccm WANAPANDIKIZA CHUKI KUBWA SANA KATI YA WANACHI NA SERIKALI YAO YA KIMAGAMBACCM sasa hivi watakuja na lawama za kuilaumu CDM.....kama kawaida yao lazima mchawi apatikane tu hata kwa kufoji!!!!