Kisa nini?wamehutubia kabla ya PM?Polisi Jijini Mbeya imewakamata wanachama wa @ ChademaTz zaidi ya 30 usiku huu.
Waliokamatwa ni Pamoja na
-Joseph Mbilinyi (Sugu)
-Emmanuel Masonga (Katibu wa Kanda ya Nyasa)
-Paschal Haonga( Alikuwa Mbunge wa Mbozi) na Viongozi na wanachadema wengine wengi.
Mtunge sheria vyama vya UPINZANI wasiende hata vyooni.Sasa kama wamekiuka sheria wasikamatwe kwani wao ni nani?
Polisi Jijini Mbeya imewakamata wanachama wa @ ChademaTz zaidi ya 30 usiku huu.
Waliokamatwa ni Pamoja na
-Joseph Mbilinyi (Sugu)
-Emmanuel Masonga (Katibu wa Kanda ya Nyasa)
-Paschal Haonga( Alikuwa Mbunge wa Mbozi) na Viongozi na wanachadema wengine wengi.
Walikuwa kwenye Mahafali ya ChasoKisa cha kukamatwa ni nini?
Sumu ya hata wewe itakufikia kwa kuwa hujui tabia za magaidi,hawaangalii chamaGaidi atawaponza sana
Walikuwa kwenye Mahafali ya Chaso
Da hii nchi hiiWalikuwa kwenye Mahafali ya Chaso
Hawa wanatumikishwa tuPolisi buana ,wanafanya mambo ya kitoto sana.
Hayo ndio maagizo ya bi chokochokoDa hii nchi hii