sasa linganisha na mkoa wa pwani ambao una watu wengi zaidi.
jibu unalo, watu wa huko mbeya walishafunguka kichwani ndio maana wako hapo wa lipo na within 5 years sitoshangaa wakiongeza Univesrities za zikafikia hata 20 kule
Pwani nzima hakuna University hata moja
Mikoa mingine vilaza tabora shinyanga na singida japo singida mjanja Lissu peke yake!!
Hizo ni data za mwaka 2007-2008 unfortunately 2011-2012 hazijawekwa! Kwa hao wakina Precisionair wamewekeza kulipo na biashara yaani Dar, huwezi kusema kwa vile ni mtu wa Kilimanjaro basi inapaswa ihesabiwe Kilimanjaro! Kama ni hivyo basi biashara yake ingekuwa kwa ajili ya kupanda watu wa Kilimanjaro tu! Huu ni ukosaji wa maarifa na hoja! Kwa kifupi Kilimanjaro hamna soko la ku-support biashara za hao unajisifia nao! Na ukweli unabaki palepale JKIA inaupita Mkoa wa Kilimanjaro kwa mapato!
kwa hiyo mikoa mingine hailipi kodi kama hizo pia? kuna madini gani Kilimanjaro?Naona umejaribu jibu unavyoviweza na vingine ukavuruga.Nimekuambia Kodi ni sehemu tu ya mapato yanayokwenda hazina.Kuna magogo yanauzwa west Kilimanjaro, mapato ya mlima yanakwenda Tanapa/Kinapa na kwenda hazina si kama kodi(park fees),kuna madini, kuna mapato yatokayo ktk viwanda vya serikali na wabia kama TPC ,kuna mashamba ya kahawa ,kuna mashamba ya maua, kuna mashamba ya mazao ya mbogamboa west kilimnjaro yanayopeleka vyakula nje kwa wingi sana, haya mashamba yanmekodiwa kwa taasisi za serikali na vijji etc.Ninavyofahamu kilimanjaro mara nyingi tuu imewahi ingiza mapato zaidi nchini Tanzania(Enzi ya Mkapa namapema akiingia Kikwete) na imekuwa ktk number 5 muda mrefu sana.
Umekuwa mwepesi sana kukataa michango ya watu wanaooperate Kilimanjaro ila kodi wanalipa ziliposajiliwa office zao.Lakini kwangu mimi ni Live example kwanini hela haikai mkoa Kilimanjaro.Makampuni mengi ya mabasi ni ya wachaga ila yana office dar,makampuni ya mafuta, makampuni ya utalii, na mengineyo, na mara waingizapo hela bank basi hutolewa dar kwa shughuli nyingine kama kununua magari Mapya, kuendeleza miradi mingine, pia raia wa Moshi baada ya kukusanya hela hukimbilia Dar kununua Nguo, magari, spare etc.Hukutaka angalia mbali zaidi hadi mimi nikuonyeshe.Kawaulize wachaga au watu waliowahi ishi moshi watakuwambia kuwa kuna kipindi hakuna hela kabisa mjini sababu ya msingi ndio hii unayoikataa.Si kodi tuu inayotolea nje ya Kilimanjaro basi hata hela nyingine katika mzunguko zinaondoka haraka sana.Kwa ujumla panahitaji regulation otherwise panakuwa na scenario ya money laundering na trade inbalance.Hakuna tofauti na akina Barricks,KCB wakusanye hela Tanzania wakalipe kodi nchini kwao.Nayo utaikataa?Unajua ukihamisha hela ya uwekezeji ktk nchi kuna procedure unazifuata na kujikuta ukiacha hela?Wahindi walikuwa wakiahamisha hela miaka ya Mwinyi kwa kufunga biashara na kuondoka na dola zote kienyeji na kuacha nchi tupu.
Watu wa Kilimanjaro acheni kujisifu jengeni zile Slums za Kaloleni, Pasua, Njoro, pachafu sana wakuu...sehemu ya maana ni Soweto tu kwingine kote machafuchafu tu.
acha uongo wa kijinga wewe .... unapajua Shanty Town wewe ... huijui moshi kaa kimya
Watu wa Kilimanjaro acheni kujisifu jengeni zile Slums za Kaloleni, Pasua, Njoro, pachafu sana wakuu...sehemu ya maana ni Soweto tu kwingine kote machafuchafu tu.
kwa hiyo mikoa mingine hailipi kodi kama hizo pia? kuna madini gani Kilimanjaro?
ahc uongo wewe,kaulize ktk takwimu za serikali ya magamba uone mkoa gani umeongoza sana kwa usafi.Usafi ni ughali wa majengo.Ukishuka moshi next time dondosha voucher.Kisha njoo JF kureport.
ha haa ha! Naona umekunywa dadii mbona mapema sana, unaongelea kile kipande cha mjini, vipi zile nyumba Kaloleni kwenye dampo la mkoa vocha wanatupa wapi?
Acha kujiaibisha na upofu wako wa kulazimisha Kilimanjaro ina rasilimali au inatoa mapato makubwa! Inaelekea huijui jiografia ya Tanzania vizuri! Kilimanjaro mapato yake yanatokana na utalii mlima Kilimanjaro, kilimo na biashara za mipakani (customs jumuisha na KIA) na kwa mbali utoaji huduma kama za elimu, afya na kibenki! Hamna madini Kilimanjaro na hiyo park fee imejumuishwa katika hesabu za TRA na unajiaibisha kudai ati kuna kodi kubwa kwenye park fees! Utataka watu watafute data Kilimanjaro za mikoa mingine yenye national parks kama Arusha na Manyara!Una hakika na usemalo?Mikoa mingine inapokea parkfees kama ya kili?Je unahakika kua Hood,abood, na wengine kodi yao inakatwa Dar na si Moro?.Kuna uraniun, na gold upare, kuna Gypsum Makanya,Mererani si yote ipo manyara, msitu wa Tembo kuna red garnet na ruby.
Acha kujiaibisha na upofu wako wa kulazimisha Kilimanjaro ina rasilimali au inatoa mapato makubwa! Inaelekea huijui jiografia ya Tanzania vizuri! Kilimanjaro mapato yake yanatokana na utalii mlima Kilimanjaro, kilimo na biashara za mipakani na kwa mbali utoaji huduma kama za elimu! Hamna madini Kilimanjaro na hiyo park fee imejumuishwa katika hesabu za TRA na unajiaibisha kudai ati kuna kodi kubwa kwenye park fees! Utataka watu watafute data Kilimanjaro za mikoa mingine yenye national parks kama Arusha na Manyara!
Unajichekesha nini sasa.Nimekuambia tupa vocha mjini,na nikakupa kazi ya kungalia mito na mifereji yao halafu nenda dar ana mikoa mingine uone tofauti.Saa hujajibu unakimbilia uliza swali lilikosewa.Kawaangalie wanatupa wapi?Kwani wanaishi ndani ya dampo hadi wadondoshe popote?
Kwa hiyo Pasua, Kaloleni, Njoro, ukitupa karatasi ya vocha unakamatwa?
Shida yako hata kuuliza swali ni mtihani kwako achilia mbali kuelewa la mwingine.Hilo swali nimekuambia jaribu mjini unang`ang`a lipeleka sehemu nyingine ili usijibu.
Kwanza pasua na kaloloni ni maeneo yasiyo na sheria sana kutokana na makundi ya watu waliohamia huko na plan ya mji,kuna slight difference ktk kufuata sheria na kuheshimu mazingira.hata kipindupindu huibuka huko.Sasa hivi ndipo watu wa asili ya mkoa wanakwenda kujenga huko.Mwanzo walikuwa watu wa tamaduni tofauti na kazi zisizo rasmi,zikiwemo uporaji.Obviously hakuna watu wengi mitaani kama mjini kati na kuna mida watu hawapo mitaani na unaweza dondosha bila kuonekana.Sasa kama hiyo ni escape yako basi huna tofauti na mtu anayetongoza malaya halafu anajidai kuwa kafanya kazi kubwa mpata wife.