Mbeya licha ya kuwa na mitaa mingi iliyojengwa hovyo bila mpangilio, lakini mtaa wa Uzunguni ni mzuri sana
Uzunguni kumepangiliwa vizuri, kuna miti mingi, hata hali ya hewa ya utofauti, na majengo yameachiana space, kati ya jengo moja na lingine. Uzunguni ni mtaa ambao upo kimya sana, kiasi kwamba hadi sauti za ndege wakiimba unazisikia. Pako kimya sana na hakuna watu wengi, unaweza kutembea dakika 10 usikutane na mtu njiani
Hakika natamani Tanzania iwe na mitaa mingi ya namna hii
Mbeya ni kuzuri tatizo polisi waleviwalevi wa hapo hawachelewi kukupa kesi na wanakufunga kweli mambuzi zao. Ndio sababu watu tuliotoka Dar hatuwezi kukita mapande kama hayo kwa muda mrefu
Pia Iwambi kuna mtaa mpya unaitwa Maziwa. Huku ni ramani zetu Wabongo wenyewe na kumepangiliwa vizuri pia, papo kimya na panajengeka kwa kasi. Nyumba za watu wa Maziwa ni nzuri sana. Siku ikitokea nikiwa free tena nitaenda kupapiga picha.
Japo nakubali mitaa mingi tumeipanga hovyo
Mbeya ni kuzuri tatizo polisi waleviwalevi wa hapo hawachelewi kukupa kesi na wanakufunga kweli mambuzi zao. Ndio sababu watu tuliotoka Dar hatuwezi kukita mapande kama hayo kwa muda mrefu
Bro nilikaa pale mwaka mmoja ikabidi nile kona tu maana niliona manjago wakishapiga mitungi wanajiona wako juu ya sheria na sisi wazawa wa Dar huwa hatutishiwi nyau
Bro nilikaa pale mwaka mmoja ikabidi nile kona tu maana niliona manjago wakishapiga mitungi wanajiona wako juu ya sheria na sisi wazawa wa Dar huwa hatutishiwi nyau