Mbeya long time kitambo

Hawa ndio walikuwaga wababe enzi hizo......Daudi Masoke .....Janken....huyu jamaa alipigwa risasi na askari pale Mafiati .....alikimbia akaenda kufia Makunguru......wane star alikuwa mruka sarakasi tu hakuwaga mbabe though watu walikuwa wakimuogopa wakizani anajua kung fuu....Mwasimba mzee wa kubeba chuma enzi hizo....Kidos the killer ....Imma Kisogo wa forest ....pia kulikuwa na wakorofi kama akina Jagwa, Regge Man,Samadoh Jah mtoto wa makinda mby .....kundi la waswaken........bia yangu ya kwanza kunywa ...nimekunywa bar moja long time kitambo.....inaitwa vamponji....anyway tuache tu......
 
siku moja tulienda kucheza boli Rungwe sec basi kulikua na mawe ya kufa mtu dah ile match inaisha aisee walituvunjia vioo bus let, ila kweli Rungwe mlikua mnavuta sana bangi aisee.

Kama ile ajali ya kuanguka miti inayozunguka uanja wa Sokoine aisee nilinusurika nilikosa siti sikupanda, kuna mshkaji ni mlemavu hadi leo................

Mbeya bwana dah nina miaka mingi sijaish Mby ya wasafwa, wanyiha, wanyakyusa, wandali, mwagona mwe
 
Umenikumbusha sana hawa walisumbua sana walikua wanafanyia machinjioni monde
sheta au mwasimba
kidos
Julius kajoleka
lutengano
huyu mwasimba alisumbua sana mpaka serikari ikamuajili kwaajili ya kutuliza ghasia machinjioni hapo
julius kajoleka alikua mtumishi misuli maalufu tz alishafanikiwa kufika south Africa kwa kutunisha misuri baadae wazungu w alikuja kumtafuta akacheze filamu hollwood baba yake akamkataza akamwambia ukienda huko hutaludi na kweli hakwenda na alikua na uwezo mkubwa wa kula nyama kilo nne mlo mmoja wanawake alikua hadumu nao
 
Cpwaa..Daz J..Isanga family..BizeBabu..Robo Corp..Ras Richy..Luggy..Adili..Buzax..Murady..Kambasonic..Mwalugaja..Yesu na Shetani
Kama unamfahmu biz bab ....hushindwi kumfahau rass jeff kapita....sisi ndio tulikuwa tuna run Mby wakati huo.....chapa sana vibao akina adili ....na kina leni makaya...long long time....
 
Kuna mabasi mengine kama Majira, Sasa kazi, Mgangaluma yalikuwepo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…