Mbeya Kumekucha "Mulugo Ampiku Sugu"

Mbeya Kumekucha "Mulugo Ampiku Sugu"

MAFILILI

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
2,377
Reaction score
1,200
Katika hali inayoashiria kupimana ubavu katika jimbo la Mbeya Mjini ambalo mbunge wake ni Joseph Mbilinyi a.k.a. "SUGU" kupitia CHADEMA na Naibu Waziri wa Elimu, Philip Mulugo imezidi kupamba moto baada ya vijana zaidi ya 300 waendesha boda boda kuhama kambi ya Sugu na kujiunga rasmi kambi ya Mulugo. Vijana hao ambao walikuwa ni nguvu na tegemeo la SUGU na CHADEMA kwa ujumla katika harakati za kisiasa jijini Mbeya, wamempa Mulugo fursa ya kuwa mlezi wao kwa vile SUGU amedhihirisha kuwa ni mbabaishaji na hayuko karibu na wananchi. Hizi ni dalili tosha kuwa zama za SUGU na CHADEMA jijini Mbeya zinafikia ukingoni. Mulugo ameonyesha mfano kwa kuwawesha vijana kuanzisha SACCO na kuchangia shilingi milioni 1 na laki 4 kwa nia ya kuomgeza wigo wa kuendesha shughuli za kujiletea vipato, jambo ambalo SUGU alishindwa kulifanya tangia achaguliwe kuwa mbunge, pia vijana husika wamechukia kitendo cha SUGU kutoenda kuwajulia hali walipokuwa wameshikwa kwa kosa la kuleta mtafaruko kwa lengo la kuieneza CHADEMA.

Chanzo; Gazeti la Majira, Januari 15, 2013
 
Katika hali inayoashiria kupimana ubavu katika jimbo la Mbeya Mjini ambalo mbunge wake ni Joseph Mbilinyi a.k.a. "SUGU" kupitia CHADEMA na Naibu Waziri wa Elimu, Philip Mulugo imezidi kupamba moto baada ya vijana zaidi ya 300 waendesha boda boda kuhama kambi ya Sugu na kujiunga rasmi kambi ya Mulugo. Vijana hao ambao walikuwa ni nguvu na tegemeo la SUGU na CHADEMA kwa ujumla katika harakati za kisiasa jijini Mbeya, wamempa Mulugo fursa ya kuwa mlezi wao kwa vile SUGU amedhihirisha kuwa ni mbabaishaji na hayuko karibu na wananchi. Hizi ni dalili tosha kuwa zama za SUGU na CHADEMA jijini Mbeya zinafikia ukingoni. Mulugo ameonyesha mfano kwa kuwawesha vijana kuanzisha SACCO na kuchangia shilingi milioni 1 na laki 4 kwa nia ya kuomgeza wigo wa kuendesha shughuli za kujiletea vipato, jambo ambalo SUGU alishindwa kulifanya tangia achaguliwe kuwa mbunge, pia vijana husika wamechukia kitendo cha SUGU kutoenda kuwajulia hali walipokuwa wameshikwa kwa kosa la kuleta mtafaruko kwa lengo la kuieneza CHADEMA.

Chanzo; Gazeti la Majira, Januari 15, 2013
Mkuu Umesahau kuwa Mulugo kawasaidia sana vijana kuelewa Historia yao ya muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe lazima atoe kitabu cha historia hii ambayo itasaidia vijana wengi sana
 
Wamefikia hapo kuwa waendesha bodaboda kwa ujinga wa Ccm ya mulugo na ukombozi uko chadema mbona mimi nipo hapa mbeya na sioni jambo kama hilo wewe uliyepost thread hii ni gamba
 
sawa kwani tatizo ninini sisi sera yetu ni KULA KWAO KURA KWETU mwache Mlugo aliwe ila kura CHADEMA,asitegemee hela zitawarudisha ikulu 2015 CDM inapasua bana
 
Wamenunuliwa, na wakati wa uchaguzi utawaona wakirudi nyumbani kwao CDM
Katika hali inayoashiria kupimana ubavu katika jimbo la Mbeya Mjini ambalo mbunge wake ni Joseph Mbilinyi a.k.a. "SUGU" kupitia CHADEMA na Naibu Waziri wa Elimu, Philip Mulugo imezidi kupamba moto baada ya vijana zaidi ya 300 waendesha boda boda kuhama kambi ya Sugu na kujiunga rasmi kambi ya Mulugo. Vijana hao ambao walikuwa ni nguvu na tegemeo la SUGU na CHADEMA kwa ujumla katika harakati za kisiasa jijini Mbeya, wamempa Mulugo fursa ya kuwa mlezi wao kwa vile SUGU amedhihirisha kuwa ni mbabaishaji na hayuko karibu na wananchi. Hizi ni dalili tosha kuwa zama za SUGU na CHADEMA jijini Mbeya zinafikia ukingoni. Mulugo ameonyesha mfano kwa kuwawesha vijana kuanzisha SACCO na kuchangia shilingi milioni 1 na laki 4 kwa nia ya kuomgeza wigo wa kuendesha shughuli za kujiletea vipato, jambo ambalo SUGU alishindwa kulifanya tangia achaguliwe kuwa mbunge, pia vijana husika wamechukia kitendo cha SUGU kutoenda kuwajulia hali walipokuwa wameshikwa kwa kosa la kuleta mtafaruko kwa lengo la kuieneza CHADEMA.

Chanzo; Gazeti la Majira, Januari 15, 2013
 
Wamenunuliwa, na wakati wa uchaguzi utawaona wakirudi nyumbani kwao CDM

Hivi huko CDM kila mtu anajiuza? Viongozi wa BAVICHA wamenunuliwa, naibu katibu mkuu kanunuliwa, mwenyekiti wa mkoa Mbeya kanunuliwa, katibu wake kanunuliwa, madiwani wamenunuliwa, wabunge wamenunuliwa, sasa si mngejisalimisha kwa Kenyela kabla hajaanzisha operesheni?
 
naijua vizuri hii kitu sugu alisema zikija pesa za magamba msiziache na bada ya hilo tukio la mlugo vijana ambao waliwakilishwa na uongoz wao wa bajaj walifika ofisin kwa sugu na kueleza nn kiliendelea
 
Wadau naomba mnikumbushe hivi mulugo ni mbunge Wa jimbo gani kule mkoani Mbeya, manake amekomaa na Sugu kuliko jimboni kwake!
 
Mulugo ameonyesha mfano kwa kuwawesha vijana kuanzisha SACCO na kuchangia shilingi milioni 1 na laki 4 kwa nia ya kuomgeza wigo wa kuendesha shughuli za kujiletea vipato, jambo ambalo SUGU alishindwa kulifanya tangia achaguliwe kuwa mbunge, pia vijana husika wamechukia kitendo cha SUGU kutoenda kuwajulia hali walipokuwa wameshikwa kwa kosa la kuleta mtafaruko kwa lengo la kuieneza CHADEMA.

Ha ha ha.. Hivi kweli unatoa kiaci hicho cha hela kuwarubuni vijana halafu mnakuja kujicifia hapa ati vijana wamehama Chadema wamerudi ccm..? Mnawanunua wanachama..? Mmefikia that low kweli..? Halafu mnakuja hapa na mnashangilia kama mazuzu..!
 
MAFILILI wakazi wa mby sugu akipita wanaacha na shughuli zao wamuone tu mbunge wao....af nadhan ujui vizuri kazi za mbunge eeh
 
Last edited by a moderator:
Hata do.slaa anasemaga majukwaani,ccm wakiwapa ela vijana kuleni ila mwisho wa siku wataisoma kwenye makaratasi ya kura 2015!waambie waandke propganda nyingne kaz yetu kuzpangua tu!ccm hawanaga fact DUNIA nzima!
 
Nape kwenye kipindi cha mkasi alisema kuwa huwezi ukawa na wanachama waendesha pikipiki halafu ukategemea kupata urais.leo imekuwaje waendesha pikipiki waonekane wa muhimu kwa ccm wakati Nape anawaona kuwa hawana faida yoyote?.
 
Back
Top Bottom