Mmmmm yule msifia speaker ukuje huku utetee hii hoja, maana mara spika kafanya hivi mara zile kumbe ni zero, hii T1 Inayopita mbeya ni mbovu, nyembamba mno na kusikitisha eti mabus yote asubuhi yanakua escorted!matumizi mabaya ya traffic officer's
Ikiongozwa na likijiji likubwa la mzizima(Dar).Mi sioni majiji zaidi ya vimji. Hatuna mkoa hata mmoja una hadhi ya kuitwa jiji kwa waliotembea. Tuna vijiji na tumiji. Nashauri tuache kutumia neno jiji.
Anatengeneza verse za kuja kujibu mapigo. Sema samutaimu namkubali zinachajiThe sunk cost fallacy 2 upo wapi😂😂😂
Hakuna mtu hapo😂😂😂😂Anatengeneza verse za kuja kujibu mapigo. Sema samutaimu namkubali zinachaji