MBEGU ZA MABOGA ZINAUZWA

MBEGU ZA MABOGA ZINAUZWA

Blues1

JF-Expert Member
Joined
Feb 14, 2015
Posts
663
Reaction score
1,413
tunauza mbegu za maboga kavu na zilizokaangwa kwa jumla na rejareja.
Package ya 1kg sh.9000
Package ya 500g sh.5000
Unaletewa popote ulipo kwa gharama zako.
Tupigie kwa 0629992942
Karibuni
 
Kwa taarifa 😛ia zinaongeza nguvu za kiume.
Pamoja na faida nyingine lukuki kama kuongeza maziwa kwa mama wanaonyonyesha, kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake, inapunguza chance ya kuugua magonjwa ya moyo, kansa n.k
 
Pamoja na faida nyingine lukuki kama kuongeza maziwa kwa mama wanaonyonyesha, kuongeza hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake, inapunguza chance ya kuugua magonjwa ya moyo, kansa n.k
Haswaaaa hapo utapata wateja maana nilichokoza naona wewe umegombana kabisa.

Cc: wanaume wa Dar.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom