siyo kwamba naharibu biashara ila kama unavyojua hali ya ukame mwaka huu mahindi ya SIDCo yalikauka wakati ya kwangu ya Stuka M1 yakiendelea kuvumilia mpaka mvua ikayakuta hai. Poa kula mahindi haya au unga wake unajiepusha na madhara ya GMO inayopenyezwa na makampuni makubwa ya mbegu.