mattymfunami
Member
- Aug 8, 2016
- 32
- 11
Dar ila shuguli nazifanyia morogoroUpoo mkoaa gani
Waweza nipa sifa zakeStuka inapambana
siyo kwamba naharibu biashara ila kama unavyojua hali ya ukame mwaka huu mahindi ya SIDCo yalikauka wakati ya kwangu ya Stuka M1 yakiendelea kuvumilia mpaka mvua ikayakuta hai. Poa kula mahindi haya au unga wake unajiepusha na madhara ya GMO inayopenyezwa na makampuni makubwa ya mbegu.Waweza nipa sifa zake
Nimenunua PANNER vip nitavuna kwelisiyo kwamba naharibu biashara ila kama unavyojua hali ya ukame mwaka huu mahindi ya SIDCo yalikauka wakati ya kwangu ya Stuka M1 yakiendelea kuvumilia mpaka mvua ikayakuta hai. Poa kula mahindi haya au unga wake unajiepusha na madhara ya GMO inayopenyezwa na makampuni makubwa ya mbegu.
Nasikia iko poa. sijawahi kuilima ila ina tabia kama Stuka M1Nimenunua PANNER vip nitavuna kweli
Vip hii kariakoo ipoTafuta DK 9089 ni nzuri sana. Inzaa mapacha na inavumilia sana ukame
Ningeshauri utafte mbegu ilioimara kwa ukame na hali ya vua ya sasa haitabirikiKuna ile inaitwa KATUMAN, wanasemaga inatoa mahindi mawili kwa shina moja, kuna alieijaribu hii??
Nenda kariakoo ukanunue mbegu utakuja kunitafuta..Vip hii kariakoo ipo