Mbege ni kinywaji cha taifa....

Sinywi pombe na kamwe sitainywa, ila kwa pombe za kienyeji, inayostahili kuitwa kinywaji cha tsifa basi ni Gongo, hii pombe kila mkoa ipo.

Ila mbege ukiipeleka maeneo mengine hawaijui, Gongo inafahamika hakuna kijij utaikosa hakuna mji utaikosa hiii Ndiyo gongo mflume wa Pombe za kienyeji.

Ila kunywa Gongo kupita kiasi, inaweza kudhoofisha Afya yako hata kukua. Kula kwanza Vizuri kabla hujanywa.
 
Gongo mbaya kiafya pili haina virutubisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…