Haswaa mbege Ni kitu fire,enzi za ukoloni wazungu waliwasifu Sana wachaga na walikuwa wanainywa,mbege ni pombe inayotengenezwa kwa usafi wa hali ya juu na material yake Ni ulezi,ndizi mbivu na maji tu
Mwaka 1983 mbunge wa rombo bw ngalai alienda na mbege bungeni akitaka iwe pombe ya asili ya Taifa
Cc
Sky Eclat
instanbul
fazili
chuma cha mjerumani
Jurrasic Park