Mbavu zangu jamani, teh,teh,teh....

Mbavu zangu jamani, teh,teh,teh....

Deo bony

Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
74
Reaction score
8
Baba alimuuliza mwanae nikikupiga huwa hasira zako unamalizia wapi? Namalizia chooni. Huko chooni unamalizia vipi? Huwa nasafisha tundu la choo kwa kutumia mswaki wako unaotumia kila siku! Baba kazimia mpaka leo!....
 
Hahaha kwi kwi kwi tse tse tse pwah pwah pwah ...naombeni kitambaa nifute machozi maana pia imebdi nicheke kwa vibration hahahaha niko meeting hahahah
 
Haya bana , toto lina akili sana hilo!
 
Hahaha kwi kwi kwi tse tse tse pwah pwah pwah ...naombeni kitambaa nifute machozi maana pia imebdi nicheke kwa vibration hahahaha niko meeting hahahah

hii imenichekesha zaidi
 
Ha!
Haha!
Hahaha!
Hahahaha!
Hahahahaha!
Hahahahahaha!
Hahahahahahahaaaaa...
 
teh teh teh

Hahaha kwi kwi kwi tse tse tse pwah pwah pwah ...naombeni kitambaa nifute machozi maana pia imebdi nicheke kwa vibration hahahaha niko meeting hahahah
 
Baba alimuuliza mwanae nikikupiga huwa hasira zako unamalizia wapi? Namalizia chooni. Huko chooni unamalizia vipi? Huwa nasafisha tundu la choo kwa kutumia mswaki wako unaotumia kila siku! Baba kazimia mpaka leo!....

My God mwanangu asisome hapa. Nna mashaka anaweza try it at home !!! Kichwa yake naijua mimi.
 
Back
Top Bottom