WanaJF.
Mimi si kusikitishwa tu bali nim,eshangazwa sana na nashindwa kuamini kama kweli nchi hii kuna vyama imara vya upinzani
Juzi tu Mh. Mbatia kalaumiwa kwa kukiuka yale waliokubaliana kama vyama vya upinzani kuwa kongamano la amani atafutwe mwezeshaji atakaye liendesha badala ya serikali (CCM) yeye akaamua kufungamana na ccm (serikali ) ili wao ndo waratibu kongamano hilo hili akijua wazi chanzo cha kuanza kutoweka kwa amani nchi hii kinasababishwa na ccm.
Mh. Cheyo naye anailaaumu CHADEMA, kwa kuja na mpango wa kufundisha vijana juu ya kujilinda dhidi ya uonevu wa polisi na ccm kwa kutumia vikosi vyao vya uharifu vya Green Guard. Anasema hakubaliani na suala hilo, mimi nimeshindwa kuwaelewa hawa kama kweli ni wapinzani ? ama wanaitumikia CCM na serikali yake
Wote tunakumbuka aliyoyasema Mh. Mrema alipoenda kumtembelea Mh. Nassari pale Mhimbili alikokuwa amelazwa baada ya kuumizwa vibaya na watu waliokuwa wametumwa na ccm kumdhuru mbunge huyo; Mh. Mrema alisema "ccm ni mbaya haya yanayowapata yalinipata na mimi lakini nina uhakika hawataweza"
Kweli nchi hii kuna vyama vya upinzani ama vipo kwa ajili ya kuganga njaa tu ? ili bora liende
Mimi si kusikitishwa tu bali nim,eshangazwa sana na nashindwa kuamini kama kweli nchi hii kuna vyama imara vya upinzani
Juzi tu Mh. Mbatia kalaumiwa kwa kukiuka yale waliokubaliana kama vyama vya upinzani kuwa kongamano la amani atafutwe mwezeshaji atakaye liendesha badala ya serikali (CCM) yeye akaamua kufungamana na ccm (serikali ) ili wao ndo waratibu kongamano hilo hili akijua wazi chanzo cha kuanza kutoweka kwa amani nchi hii kinasababishwa na ccm.
Mh. Cheyo naye anailaaumu CHADEMA, kwa kuja na mpango wa kufundisha vijana juu ya kujilinda dhidi ya uonevu wa polisi na ccm kwa kutumia vikosi vyao vya uharifu vya Green Guard. Anasema hakubaliani na suala hilo, mimi nimeshindwa kuwaelewa hawa kama kweli ni wapinzani ? ama wanaitumikia CCM na serikali yake
Wote tunakumbuka aliyoyasema Mh. Mrema alipoenda kumtembelea Mh. Nassari pale Mhimbili alikokuwa amelazwa baada ya kuumizwa vibaya na watu waliokuwa wametumwa na ccm kumdhuru mbunge huyo; Mh. Mrema alisema "ccm ni mbaya haya yanayowapata yalinipata na mimi lakini nina uhakika hawataweza"
Kweli nchi hii kuna vyama vya upinzani ama vipo kwa ajili ya kuganga njaa tu ? ili bora liende