kilombero yetu
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,004
- 116
wote nccr wa cdm wengine wamebaniwa angalia sahv itv anataja majina ya wachangiajai badala ya watu kuonyesha mikono,jamaa ananiambia wapo nyuma "tumeandika ya kwetu watu 9 hakuna atamoja lililosemwa na watu wachache hv bora tu cdm wangeandaa'kweli cdm nawakubali kwakuandaa mijadala tatizo huwa wanaandaa hoja moja tu yakupinga kila kitu!!!