Leo kwenye Mkutano wa mgombea ubunge kwa tiketi ya NCCR katika jimbo la Vunjo, James Mbatia ameshindwa kuhudhuria Mkutano wake uliofanyika Uchira, Kirua Vunjo Kusini baada ya polisi kumkatalia kutua na chopa kwa Kukosa kibali.
Kwenye Mkutano huo ambao ukihudhuria na watu wachache sana, (alihutubia mke wa Mbatia) Mpaka kujiuliza yale mafuriko pale Kiongozi wa UKAWA anapohutubia yamekwenda wapi?
Jibu, ni kwamba Mbatia bila kutumia Mgongo wa Lowassa hapati watu.
Mbatia amefanya mikutano miwili tu Vunjo, ule wa ufunguzi wa kampeni na ule wa Lowassa alipokuja Vunjo.
Mrema atamshinda vibaya Mbatia kiasi ambacho atawaaibisha UKAWA.
Kwenye Mkutano huo ambao ukihudhuria na watu wachache sana, (alihutubia mke wa Mbatia) Mpaka kujiuliza yale mafuriko pale Kiongozi wa UKAWA anapohutubia yamekwenda wapi?
Jibu, ni kwamba Mbatia bila kutumia Mgongo wa Lowassa hapati watu.
Mbatia amefanya mikutano miwili tu Vunjo, ule wa ufunguzi wa kampeni na ule wa Lowassa alipokuja Vunjo.
Mrema atamshinda vibaya Mbatia kiasi ambacho atawaaibisha UKAWA.