Huruma ya Mbowe/Lowassa kumuokoa Mbatia Vunjo

Huruma ya Mbowe/Lowassa kumuokoa Mbatia Vunjo

Majasho

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2009
Posts
413
Reaction score
221
Pamesalia takribani mwezi mmoja tu kufika octoba 25, Hali Ya mgombea ubunge jimbo la Vunjo Ni mbaya kiasi kwamba ameomba msaada kutoka kwa Mbowe/ lowassa wamsaidie.

Hii inakuja baada mbatia kutokaa katika jimbo la Vunjo Na kufanya kampeni, Mpaka sasa tangu kampeni zianze amekaa kWenye jimbo lake siku 6 tu Na kufanya mikutano 5 tu. Huku Muda mwingi akitumia kuzunguka Na lowassa Na kuwajibia ukawa Dar Es Salam. Pia wiki chache zilizopita madiwani wa Chadema jimbo la Vunjo waligoma kumpigia kampeni.

Mrema amekuwa Na nguvu kubwa Vunjo Hali inayoashiria mbatia atashidwa, Hivyo ili kumsaidia Mbatia asihadhirike Lowassa amepanga mikutano mitatu katika jimbo la Vunjo pekee, kitu ambacho hakifanyika kwenye jimbo Lolote analopita huwa anafanya Mkutano mmoja kila jimbo Na hata kutofika katika majimbo mengine Ya mbali.

Upendeleo huu unadhihirisha Hali Ya kisiasa ilivyokuwa mbaya kwa mbatia. Lowassa ratiba Yake Ya awali ilikuwa inaonyesha atakuwa Vunjo octoba 11 Na Mkutano mmoja tu Kwenye jimbo hilo. Sasa lowassa anakuja Vunjo kesho kutwa kwa ajili Ya kumsaidia mbatia
 
Mrema amekuwa Na nguvu kubwa Vunjo Hali inayoashiria mbatia atashidwa, Hivyo ili kumsaidia Mbatia asihadhirike Lowassa amepanga mikutano mitatu katika jimbo la Vunjo pekee, kitu ambacho hakifanyika kwenye jimbo Lolote analopita huwa anafanya Mkutano mmoja kila jimbo Na hata kutofika katika majimbo mengine Ya mbali.
unnamed.jpg
 
Wakati mwingine makamanda wawe wanaongea ukweli kuhusu siasa jamani. Hivi Lowasa anaweza msaidia Mbatia katika nyanja ipi hasa. Mbona upuuzi huu jamani. Lowasa ana kitu gani cha kusaidia, kuongea hajui, siasa hazijui kaparamia kazi asiyoimudu kabisaa.

Labda akamsaidie Mbatia kugawa hela za rushwa kwa wananchi. Mtu mwenyewe akienda jukwaani anazungumza dakika tano anajiombea kura yeye mwenyewe halafu anawaagiza wananchi waende mitaani wakatafute kura kwa wengine.

Hapo kamaliza. Atamwombea Mbatia kivipi sasa. Hawezi kuzungumza chochotee.
Eti Lowasa akamfanyie kampeni Mbatia. !!!! Msirudie tena statement hii ni aibu kwa Mbatia. Kama hakubaliki hakubaliki tu huwezi lazimisha hata kidogo
 
Wakati mwingine makamanda wawe wanaongea ukweli kuhusu siasa jamani. Hivi Lowasa anaweza msaidia Mbatia katika nyanja ipi hasa. Mbona upuuzi huu jamani. Lowasa ana kitu gani cha kusaidia, kuongea hajui, siasa hazijui kaparamia kazi asiyoimudu kabisaa.

Labda akamsaidie Mbatia kugawa hela za rushwa kwa wananchi. Mtu mwenyewe akienda jukwaani anazungumza dakika tano anajiombea kura yeye mwenyewe halafu anawaagiza wananchi waende mitaani wakatafute kura kwa wengine.

Hapo kamaliza. Atamwombea Mbatia kivipi sasa. Hawezi kuzungumza chochotee.
Eti Lowasa akamfanyie kampeni Mbatia. !!!! Msirudie tena statement hii ni aibu kwa Mbatia. Kama hakubaliki hakubaliki tu huwezi lazimisha hata kidogo

watu wengine natafta kitu cha kuwafananisha hata sikioni nyau si nyau sasa wewe unajua kuongea? Umegombea wap? Ukoo wenu mna hata mjumbe wa kikundi chochote hata cha vikoba? Shame on you kuongea kuanze na wewe usijilinganishe na lowasa wakati kwemu mlo mmoja saa nyingine hamli. Yaan watu ni wajinga unashindwa kujitathimini mwenyewe unakuja hapa tukuone wa maana? Nyamba***f
 
Ww kweli umechoka na maisha tuulize tulioko vunjo tukupe jibu acha kujifariji huku mbatia is the great
 
watu wengine natafta kitu cha kuwafananisha hata sikioni nyau si nyau sasa wewe unajua kuongea? Umegombea wap? Ukoo wenu mna hata mjumbe wa kikundi chochote hata cha vikoba? Shame on you kuongea kuanze na wewe usijilinganishe na lowasa wakati kwemu mlo mmoja saa nyingine hamli. Yaan watu ni wajinga unashindwa kujitathimini mwenyewe unakuja hapa tukuone wa maana? Nyamba***f
Usitumie nguvu nyingi kwa watu wenye mawazo mgando we mwache hivyo hivyo mtu anashabikia matatizo.CCM ni chama cha matatizo.
 
Wanavunjo lazma tumkate aisee October 25 hana jipya alituacha.aende kawe vunjo hatumhitaji
 
Back
Top Bottom