GE2025 Mbaraza UWT Taifa Reginah Samwel ajitosa Ubunge wa Jimbo la Bukoba Mjini

GE2025 Mbaraza UWT Taifa Reginah Samwel ajitosa Ubunge wa Jimbo la Bukoba Mjini

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Mbaraza UWT Taifa Na Mjumbe Wa Kamati Ya Uchumi, Mipango Na Fedha Na Kamati Ya Mawasiliano Kwa Umma UWT Taifa, Mkurugenzi Mtendaji wa Kasibante Fm Radio na Zachwa Investment LTD Bi. Reginah Samwel Zachwa ametia nia kugombea Ubunge wa Jimbo la Bukoba Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025

Screenshot 2025-07-02 225608.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom