Mbappe kanitekea demu wangu

We mwangalie alivyo aww 😋😋😋😋
Huyu akijaribu kunikiss kabla hajafikia lips nishazimia kitambo
 
Sikuwa namjua jamani zaidi ya kumsikia jina..huyu anakukojolesha walai kabla hajakugusa
 
Wako ?

Nadhani tunakosea kudhani tunaweza kumiliki binadamu wewe enjoy tu ya leo na furahia ya jana kuhusu kesho hatujui..., kwahio mki-part ways wewe shukuru for the good moments alizokupa / mlizopeana na mkikutana tena mnaweza mkakumbushia kama nyote itawaridhia...

Life is Simple, ni sisi tu ndio tuna-complicate
 
Oyooooooo, Jibu hili hapa, Tena Jibu sahihi lisilo na maruwe ruwe !!.

Mimi nimeoa Mke wangu mzurii kwelikweli ,mtoto white, figaaa ni marhabaaa.


Huwa nikitongoza mchepuko, mchepuko akawa ananizungusha , naanza kumpost Wife na wanangu wasap.


Yule manzi akiona picha ya mke wangu , anaanza, Ohoooo jamaan unamke mzuri Ivo...she is beautiful..Mara ,ohoooo kwangu unataka nn?? Kipi mkeo Hana mie nacho??.

Najua tayariiiii ng'ombe kajitanguliza kibra !!.


Nakubaliana Nawewe Authority 100%
 
Haina haja ya kupita njia zake sema nshamdharau na kama walivosema wadau dawa ni kuweka vikwazo vya kiuchumi tu

Mbappe ni tajiri atamtunza
 
Sasa ushabiki wa mpira unaingiza kwenye mahusiano?
Japo pia huyo binti naye ni kimeo tu
 
Hapa ndio mjue hawapendi hela wanapenda status. Yaani huyo dogo akija bongo atawakula mademu zenu wote mnaojifanya mnahudumia. Tena atakuomba hata nauli japo akaliwe tu na mbape ujue.
Ukweli mchungu *****.
 
Wengine hata moira hawakuangalia wanafuata mkumbo tu, huyo mbape wala hawamfahamu amefanya nini,!!

Puuza tu, kama hupendezwi na hilo mkanye asifanye.
Mbaya zaidi unakuta weee ni Kafupiiiiiu keusiii kama Mimi🤣🤣🤣

Hapo nampiga Vikwazo Kila Mahali, mpaka asione weusi na ufupi, aone Umuhim wangu kwake .

Maninaaaa
 
Falla sana wewe 🤣🤣🤣
 
Hapa ndio mjue hawapendi hela wanapenda status. Yaani huyo dogo akija bongo atawakula mademu zenu wote mnaojifanya mnahudumia. Tena atakuomba hata nauli japo akaliwe tu na mbape ujue.
Atanyandua wote plus Juma Lokole ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…