Mbappe kanitekea demu wangu

Wewe anza kumpost demu wa mtaani kwenu hapo hapo ambaye unaweza kabisa kumdaka atajua hajui.

Akiweka wallpaper picha za kina Alejandro sijui Chris brown wewe muweke beki 3 nyumba ya jirani, wewe cheza uwanja wa nyumbani wakati yeye anahangaika na away games ambazo hashindi hata kwa miujiza.
 
🤣🤣🤣🤣
 
Hebu kwanza subiri huu mwaka upite😅
Mie ninani hata nisisubiriii , ningekujaa laivuuu laivuuu unifukuze hukohuko yaaan nilieee na kamasi zitokee huku nmepiga magoti nikubusu miguu yako "Jamaan Demi, nipekooo, nipekooo kidogooo tuuu ,basi angalau Kichwa tu kizame,🤣🤣🤣
 
Hizi ni nyege zako tu za leo...kesho hutanikumbuka
Weeee thubutuuuu Mimi huyu nikusahau wewe ?? Thubutuuuu

Bahati nzuri unanijuaaa nimeanza kukusumbua Toka lini na nipoo tuuuu 🤣🤣🤣 na siachi ng'oooooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…