Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
Wengine wanavaa pedi bila kuwa na matatzo yeyote yale..ili tu wakuchune na usionje kitu..Hahaha, tatizo ni zile tomato sauce hata uwe na ukame kiasi gani
Wajinga sana!Wengine wanavaa pedi bila kuwa na matatzo yeyote yale..ili tu wakuchune na usionje kitu..
Aseme kabla hajaja, apishane na gari la mshahara humtakii memaAvue ni hakikishe kwanza ndiyo nisadiki ayasemayo kuwa ni kweli ama ni uongo, vitu vingine si vya kuamini tu pasipo kuona jamani.
Kwa mahesabu ya haraka hapo tayari 185000 imekata eti, kwa usawa huu huwezi mumuelewa mtu kirahisi.
Na kama alijua yupo kwa siku zake anapaswa kusema hata kabla hajaja.
Panaingilika we were,acha uzembeHahaha, tatizo ni zile tomato sauce hata uwe na ukame kiasi gani