Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,339
- 33,167
Dawa ya kukutibu mba kichwani ninayo ukiweza nitafute mimi kwa kubonyeza hapa.MawasilianoHabarini wanajami.. Naandika thread hii kuomba ushauri ili nitatutue tatizo la mba kichwani. Nina mba mwingi sana ila huwa hauwashi ukiwasha ni kidogo sana. Nategemea kupata ushauri humu coz naamini kuna wataalamu ama waliofanikiwa kutatua jambo kama langu. Thanks in advance n God bless you!
Waone S&E BEAUTY SOLUTIONS upone Mba ndani ya wiki moja tu.Habarini wanajami.
Naandika thread hii kuomba ushauri ili nitatutue tatizo la mba kichwani. Nina mba mwingi sana ila huwa hauwashi ukiwasha ni kidogo sana. Nategemea kupata ushauri humu coz naamini kuna wataalamu ama waliofanikiwa kutatua jambo kama langu.
Thanks in advance n God bless you!
mkuu nimepak movit wee hola...naona hili tatizo langu ni sugu kwa kuwa limenitesa tangu mwaka 1988. bado natafuta dawa tena safari hii hali imekuwa mbaya zaidi.Mtoa mada vipi maendeleo yakoje? Ulipona? Kwa dawa gani, na ilichukua muda gani?
mkuu, nimeogea shampoo za aina zote (ikiwemo ketoconazole) kwa muda wa miaka 3 hadi nimeamua kuacha...tena nikipaka shampoo naona ndio tatizo linakuwa kubwa.Piga sindano mkuu watakauka wote,baada pendelea kuogea ant dandruff shampoo ambayo uua fungus na bacteria
sindano gani mkuu? nakumbuka niliwahi kwenda kule St Bernard Hospital wakanipiga sindano ya salicylic acid lakini hola.Piga sindano mkuu watakauka wote,baada pendelea kuogea ant dandruff shampoo ambayo uua fungus na bacteria
tumia radiant mkuu week mba haujaisha basi tena huna bahatimkuu nimepak movit wee hola...naona hili tatizo langu ni sugu kwa kuwa limenitesa tangu mwaka 1988. bado natafuta dawa tena safari hii hali imekuwa mbaya zaidi.
pamoja sana mkuu...nitayajaribu. kwa hiyo niwe nachanganya radiant na virgin cream au nitumie mojawapo kati ya hizi?tumia radiant mkuu week mba haujaisha basi tena huna bahati
radiant mafuta na virgin cream
asante mkuu wangu.Tumia hair oil ya vatika yamenisaidia kwa 70%
changanya tu moja asubui nyingine jioni pia ogea majani ya mlongepamoja sana mkuu...nitayajaribu. kwa hiyo niwe nachanganya radiant na virgin cream au nitumie mojawapo kati ya hizi?
mkuu, shampoo ya antidundruff nimetumia kwa miaka 5 bila mafanikio.Dawa ya mba tafuta shampoo auntdanruf zinasaidia sana
Asante sana mkuu.changanya tu moja asubui nyingine jioni pia ogea majani ya mlonge