Uliza_Bei
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 3,216
- 988
Hayo ndiyo matokeo ya mechi jana... English Premier League EPL chali, Waingereza wanajisema sana na sisi tumezoea kwashangilia mno hata DSTV wanashadadia sana lakini wanapotoka nje ya Uingereza nyanya kabisa hakuna mpira uingereza ila tumezoea tunadhani ndiyo wenye mpira...majina tu hakuna lolote. Mpira Italy, spain, Germany na kiboko yao South America....COPA AMERICA. Kama hutaki basi mimi nitasemaje sasa