RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,878
- 5,424
Habarin wanajamii wote humu ndani,natumain mu wazima wa afya! Wagonjwa polen na natumain MUNGU atawaponya! Sasa JF doc mi ninataka kufaham jambo moja! Kwamb haya maziwa ya Nido yanamadhara yoyote katik mwili wa mtoto,au mtu mzima kama akiyatumia? Ni hilo tu. Mwenye kujua zaidi naomba anijuze kwa faida yangu na sote kwa ujumla.