Maziwa fresh na mtindi - 0652777956

Maziwa fresh na mtindi - 0652777956

Ayster

Member
Joined
Nov 19, 2012
Posts
42
Reaction score
8
Wanajamii wa DSM,

Nawakaribisha maziwa fresh na mtindi. Ni halisi, ya ng'ombe yaliotayarishwa kwa usafi wa hali ya juu bila kuchanganywa na maji wala kitu chochote.

Ni mazuri na salama kwa familia yako na kwa biashara (mazito).

Maziwa fresh lita 5 sh. 12,000 na maziwa mtindi lita 4 sh. 12,000.

Wasiliana nami 0652 777 956 na tutakufikishia unapopatikana.
KARIBUNI SANA
 

Attachments

  • IMG_20170526_054319.jpg
    IMG_20170526_054319.jpg
    60.7 KB · Views: 159
  • IMG-20170525-WA0072.jpg
    IMG-20170525-WA0072.jpg
    28.5 KB · Views: 110
  • yoghurt-natural-20918.jpg
    yoghurt-natural-20918.jpg
    15.8 KB · Views: 88
Namba ya simu haipo sawa rekebisha tukutafute
 
Nice...biashara nzuri.
.
.
Huko kwenu maziwa ni ghali sana 2400 kwa lita? Kumbe kwetu raha lita ni 1200
 
Ni ya ng'ombe wa nyumbani au ya kiwandani?
Wacha maswali mengi weye nunua maziwa unywe hata kama ni ya ng'ombe wa porini, au ya mama anayenyonyesha au ya nguruwe,
Yote ni maziwa tu.!
 
Wacha maswali mengi weye nunua maziwa unywe hata kama ni ya ng'ombe wa porini, au ya mama anayenyonyesha au ya nguruwe,
Yote ni maziwa tu.!

Hahahaha! Mkuu unakunywa hata maziwa ya nguruwe?
 
Nice...biashara nzuri.
.
.
Huko kwenu maziwa ni ghali sana 2400 kwa lita? Kumbe kwetu raha lita ni 1200

Hongereni.

Bei pia imejumlisha dumu la kuhifadhia na usafiri kwa nyumbani kwako. Of course na ubora safi
 
Hongereni.

Bei pia imejumlisha dumu la kuhifadhia na usafiri kwa nyumbani kwako. Of course na ubora safi
Okay. what if mtu analo dumu lake bei itapungua?
.
.
Nimetamani mtindi ila sipo dar.
 
Nayapataje mkuu na vipi km yamechakachuliwa?

Nipigie tuongee jinsi ya kukufikishia. Naweza kukuletea ya kujaribu/ test tu bila malipo. Nina uhakika na product yangu. Ni mazuri sana
 
Okay. what if mtu analo dumu lake bei itapungua?
.
.
Nimetamani mtindi ila sipo dar.

Ndio, bei inapungua. Hata wateja wangu huwa nawashauri wayatunze madumu vizuri na kwa usafi, ili kupunguza bei.
Bahati mbaya sijaweza kuwahudumia wateja wa nje ya Dar
 
Back
Top Bottom