typical tanzanians! wananunuliwa na rambirambi,sasa sikilizia kichapo cha hiyo millioni moja kwa miaka 4 ijayo! haina tofauti na kumpigia kura aliyetoa mchele debe moja kwa sababu mwingine katoa kilo. hakyanani when someone knows ur price, u ar in for it!<br />
poleni wafiwa. manake mmefiwa twice!