Kwanza natoa pole kwa wafiwa wote,bwana alitoa na bwana ametwaa,jina la bwana lihimidiwe.
Pili,nimepata uhakika wa kua kweli hilo ni jeshi kamili,mana lina vyeo MITHILI ya vile vitumiwavyo na majeshi ya nchi ila sina uhakika wa malengo ya kuundwa kwake(JESHI LA WOKOVU) kua ni yaleyale ya ulinzi?kama ndio ulinzi wa vitu gani?
Any way Mwenyezi Mungu anajua zaidi.Ila swali la msingi ni;
Kila dini ikiamua kua na jeshi(lipewe jina lolote liwalo)je itakubalika?na haitaleta Mushkeli?
Naomba kuwasilisha.