Undetectable
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,426
- 1,765
Wanasema ukinunua gari tofauti na Toyota hapa Bongo land ni sawa na kununua chupi, hilo linakuwa lako mpaka lichake.. maana hakuna wa kulinunua tena.
Vehicle Identification Number. (VIN)
Ni kweli kabisa...Wanasema ukinunua gari tofauti na Toyota hapa Bongo land ni sawa na kununua chupi, hilo linakuwa lako mpaka lichake.. maana hakuna wa kulinunua tena.
Hivi kwanini Makonda alisema IST ni gari za kuhongwa ?Katika pita pita zangu kwenye mitandao ya kuuza magari huko duniani, nimegundua ukiachana na Toyota na Magari ya ulaya bei zake sio rafiki kwetu dunia ya tatu
Nimegundua Mazda wana brand nzuri za Magari very economical and very reasonable price,
Mfano Mazda Cx-5 ya mwaka 2012 bonge la SUV mwonekano mzuri kuliko hata rav 4 au harrrier au kulger hadi unalo mkononi milion 22 kibongobongo nimelifuatilia kwa forum ya users wamelipendekeza fuel economy coz town trip km 12 per lita na lita 7 kwa km 100 high way.
Je, kwanini w hatupendi brand kama hizi ila tunachagua Toyota unakuta gari la miaka 20 iliyopita bei juu.
Wataalamu, Mazda zinashida gani kwa upande wa spears na maintainanceView attachment 1419166
Wadada wanazipnda sana....Kwa hiyo wenye pesa zao wanahonga sana hizo gari..Hivi kwanini Makonda alisema IST ni gari za kuhongwa ?
Upo sahihi kabisa, ila kwangu mimi siwezi kaa na gari kwa miaka miwili kwahiyo nanunua gari ninalolipenda ila nazingatia sana uwezekano wa kupata mteja kwa urahisi pindi nikitaka kuliuza.Ni kweli kabisa...
Ila ukiangalia kiuhalisia tumeambukizana mawazo ya kimasikini sana....
Unaweza kukuta mtu kwa mfano amependa sana Mazda ya aina flani na pesa anayo, basi atatokea B mtu mmoja na mawazo yake na kumwambia hili haliuziki.....basi jamaa anajikuta ameangukia mikononi mwa IST..
Vip price yake dukani?Wadada wanazipnda sana....Kwa hiyo wenye pesa zao wanahonga sana hizo gari..
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana demand yake ni kubwa sana...Issue bei zake sio reasonable inakuwaje gari la miaka ya 90 huko technogia ya zamani lianuzwa bei mbaya kulinganisha na aina nyingine ya magari
Vip price yake dukani?
Kwa sababu gari za toyota ni reliable. Izo za miaka ya 90 ni reliable kuliko BMW/Merc za miaka ya karibuni.Issue bei zake sio reasonable inakuwaje gari la miaka ya 90 huko technogia ya zamani lianuzwa bei mbaya kulinganisha na aina nyingine ya magari
Issue bei zake sio reasonable inakuwaje gari la miaka ya 90 huko technogia ya zamani lianuzwa bei mbaya kulinganisha na aina nyingine ya magari
Ni kweli kabisa...
Ila ukiangalia kiuhalisia tumeambukizana mawazo ya kimasikini sana....
Unaweza kukuta mtu kwa mfano amependa sana Mazda ya aina flani na pesa anayo, basi atatokea B mtu mmoja na mawazo yake na kumwambia hili haliuziki.....basi jamaa anajikuta ameangukia mikononi mwa IST....
Kila mtu ana utaratibu wake...kwa upande wangu huwa ninnunua kitu ambacho moyo wangu unaridhika, nikikaa ndani naridhika, napata feeling....pia ninakuwa na mpango kuwa nitamiliki gari flani kwa miaka kadhaa...huo muda ukifika hata nikiuza laki 8, sina hasara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasababu wananunua spare feki au second grade.Dunia inatambua reliability ya Toyota kuwa haina mpinzani.
Na spare nazo ni bei rahisi.
Kwa upande wa Nissan spea feki zimeshaanza kuenea na zinauzwa bei ya kawaida......Kwasababu wananunua spare feki au second grade.
Spare original za Toyota hazina utofauti na Nissan au BMW.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee unaionaje Mazda Tribute ukiilinganisha na Rav 4?Nilinunua Mazda Tribute last year, ila dah! Kila mtu ananishangaa, wengine wananiuliza hiyo Rav 4 au? Ila nadhani itakuja kuwa na shida kama nitataka kuiuza.
Suala la Spare, wapo dealers kadhaa mjini Dar.
Alexander The Great
Subaru na Nissan hususani X trail watu walikuwa wanaziogopa sana wadau humu wakasema ukinunua xtrail haliuzikiShida ni spare..
Hata Subaru ilikuwa haiguswi.
Sasa imeanza kuwa kama Toyota
Hata Mazda kuna kipindi itazoeleka utashangaa