Ni muhimu pia kutambua oil ipi uweke kwenye gari na sio kila oil unatakiwa uweke. Hata izi synthetic niliwahi kusoma sehemu sio nzuri kwa magari ya zamani au yaliotembea sanaaa, wana recommend kutumia oil za kawaida.
Mimi naona ni uaminifu wa muuzaji, mana anaweza akakuletea Total ikawa total disaster nayo, kashachakachua china na kuibandika jina tu.
Wadau wanasema ni za hovyo kuliko za kutoka JapanVipo kuhusu hizi gari za kutoka Singapore? Zina sifa gani kwa wale waliowahi kutumia jamani tupeni uzoefu wenu
Mkuu ina taarifa za hii gari japo kwa uchache tu? Na mm nahitaji kuliagiza hiili mwaka huu. Tupeane dondoo za hili gari mkuu kama unazijua baadhi ya sifa zake. Na je vipi kuhusu zinazotoka singapore. Zinahimili mikiki ya mazingira yetu ya kibongo?
Unaweza, ukiwezeshwa utaweza tu mkuusiwez nunua gari chin ya cc 2000![]()
Daaah. Nilikuwa napenda sana hizi gari za singapore zimekaa luxury sana. Anyway acha nibadili muelekeoWadau wanasema ni za hovyo kuliko za kutoka Japan
Singapore hawana strict control measures kama Japan.Daaah. Nilikuwa napenda sana hizi gari za singapore zimekaa luxury sana. Anyway acha nibadili muelekeo
Shukrani mkuu. Maana nilikuwa nayapenda sana haya magari ya kutoka kwa singasingaSingapore hawana strict control measures kama Japan.
Ila Singapore wana magari mazuri (Europe Standards).
Singapore wanaweza kukuletea gari bovu ukaingia gharama za kulitengeneza. Na kinachooneshwa kwenye picha sio utakacholetewa.
Mkuu ina taarifa za hii gari japo kwa uchache tu? Na mm nahitaji kuliagiza hiili mwaka huu. Tupeane dondoo za hili gari mkuu kama unazijua baadhi ya sifa zake. Na je vipi kuhusu zinazotoka singapore. Zinahimili mikiki ya mazingira yetu ya kibongo?