Mayoda Economic Development group: Baa la njaa sio kweli, inawezekana kuna upungufu wa chakula

Apr 20, 2016
13
17
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
 

Attachments

  • 1.jpg
    1.jpg
    44.6 KB · Views: 45
  • 2.jpg
    2.jpg
    82.7 KB · Views: 46
  • 3.jpg
    3.jpg
    75.3 KB · Views: 50
Hasala = hasara........kama mpaka kwenye taarifa rasmi kiswahili hamkijui hao vijana sijui mnawafundisha nini.......
 
Kuhusu taarifa kwa vyombo vya habari
 

Attachments

  • 1.jpg
    1.jpg
    44.6 KB · Views: 34
  • 2.jpg
    2.jpg
    82.7 KB · Views: 28
  • 3.jpg
    3.jpg
    75.3 KB · Views: 33
Inabidi kumuonea tu huruma huyu ndugu matefu maana kama kuhaha kahaha sana na cheo ajapata.matefu ni kada wa ccm na kwenye bunge la katiba alikuja na tanzania kwanza,czi na leo mayoda duh!pole matefu tafuta kazi ya kufanya sio ya kutetea watu walio feli,
 
Matefu.png

Matefu.png


Nitakuwa mtu wa ajabu endapo nitatarajia Ole Sendeka aongee lugha tofauti na ya Mheshimiwa sana!!
 
Hana lolote amesema hakuna njaa tena wanasema yawezekana kuna upungufu wa chakula. Maana yake ni kuwa hana uhakika na chochote na wala kile akisemacho hakijui, kwa hiyo anachofanya nikubahatisha kutafuta kitu kwa mtukufu.
Wameisha mjua udhaifu wake, ukisifia tu......
 
Back
Top Bottom