babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,222
- 3,176
Ukifuatilia ili swala la Barrick/Acacia, Boeing na jinsi Watanzania tunavyoshabikia na kuwatetea hawa mafisadi ni kweli hakuna ubishi waposema sema kila siku waafrika tuna LOW IQ na pia ninaanza kuwaelewa labda tunatakiwa tuwe porini na wanyama wengine!!