Mayage S. Mayage amfundisha siasa Zitto Kabwe.

Siasa ni mchezo mchafu sana, lengo la zzk sio urais, nimwonavyo mimi huyu jamaa nimpiganaji katika kambi mojawapo ya ccm, atakapomaliza kazi endapo hiyo kambi yake itafanikiwa kufikia lengo basi zzk atarejea nyumbani kwake.

JF hukosi mawazo ya kila namna,ndiyo raha yake.
 
Katika VYEO na NAFASI zote CDM walizompa au walizoshinikizwa kumwachia ZZK, hawajapatia kumpa NAFASI inayoendana na sifa, mapenzi na hisia zake. Zitto anafaa na ameonyesha kuwafunika watu wote Tanzania katika nafasi na vyeo vifuatavyo:


  • Mkurugenzi wa Habari za Bunge na Kamati Muhimu za Bunge
  • Muandishi wa Habari Binafsi na Makala za Ujiko
  • Makamu Katibu Mkuu-Mkurugenzi wa Ofisi ya Mtandaoni (Twitter, Facebook, and other Web 2.0 you name them)
  • Msemaji wa Kitengo cha Maafa, Dharura na Mambo Ambayo Hayajaamuliwa na Chama-CDM

Iwapo iwapo mtahalalisha moja ya vyeotajwa hapo juu, basi mtakuwa mmempatia ZZK nafasi/cheo kinachoendana na wasifu, tabia, hisia na mwenendo wake

Kwa hiyo mkuu ndoto ya uraisi ataiacha?
 
Katumwa tu huyo, au anatafuta umaarufu, hakuna hoja hapa, kila mtu ana haki ya kugombea urais, akikataliwa na chama hiyo ni issue nyingine!
 
mimi napata hisia mambo anayoyafanya zitto ni maagizo ya wakuu wake ndani ya cdm kumchanganya adui....
 
hapa kuna mambo mengi sana haswa kwenye siasa unaweza kuta wanaweka mitego ya zzk kujitangaza ilikuwapotezea gap ccm maana wao wanaangalia CDM kama adui yao mkuu na hatari kwa uhai wa chama chao. tuweni makini wala zzk analolifanya sioni kama linakosa
 
Nimeipenda hii "Mlango wake wa kuingilia Ikulu kupitia Chadema umefungwa"...Jamaa alipumua sana MwanaHalisi ilipofungiwa sasa Raia Mwema nao wamewasha moto; kuna makala zaidi ya 3 kwenye toleo la jana zote zinamponda ZZK. Kazi kweli
 
Kama mshayajua hayo kwanini hamumfukuzi huyo mtu anazidi kuwapa headache?

Mkuu asifukuzwe, CDM waendelee kumhandle hivo hivo bila kujibiwa chochote. Mwisho wa cku atabadilika au kurudi kwa mwajiri wake. Na kufikia hapo ukurassa utakuwa umefungwa.
 
Jamaa kaandika ukweli make zzt amekuwa kinara wa kujaribu kuchochea migogoro ndani ya chama "zito anajishusha kisiasa kwa kutumiwa na wabaya wa cdm"
 
Back
Top Bottom