- Thread starter
- #41
Siasa ni mchezo mchafu sana, lengo la zzk sio urais, nimwonavyo mimi huyu jamaa nimpiganaji katika kambi mojawapo ya ccm, atakapomaliza kazi endapo hiyo kambi yake itafanikiwa kufikia lengo basi zzk atarejea nyumbani kwake.
JF hukosi mawazo ya kila namna,ndiyo raha yake.