Crispin Nyoni
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 413
- 90
Jaribu kujichunguza vizuri inawezekana labda unavuta bangi. Mimi kuna katoto fulani kijiji cha Lupaso kikajifanya kinaniweza kunipiga. Baadaye naambiwa akivutaga bangi huwa anajiona kama mkubwa zaidi ya wengine. Bangi mbaya
Wana JF, kuna hali huwa inanikuta ya kuhisi mawengemawenge na kama akili haikuwi sawa hivi. Kwa mfano nikitoka nyumbani kuja mjini ndio nikikuta magari,pikipiki,watu wengi inanikuta sana hali hii. Hapa nilipo ndani ya masaa mawili yaliyopita hali hii imenikuta hadi nikaamua nitulie mahali pa utulivu ikapungua ndo nikapata na wasaa wa kuandika hili. Hali hii siipendi mwenzenu mnisaidie tasafadhali.
Inaweza kuwa pia ni dalili ya msongo wa mawazo (stress).