Mawe kwenye kibofu

Lucy Mbasha

Member
Jul 14, 2014
6
1
Za saa hizi ndugu zangu.

Leo nilienda hospitali na kaka yangu kumsindikiza kupigwa ultrasound. Baada ya vipimo kumalizika akakutwa na jiwe kwenye kibofu cha mkojo la 0.72mm.

Amepewe cystones lakini hazimsaidii, nilikuwa naomba ushauri wa dawa ya asili au hata za dukani zinazoweza msaidia.

Muwe na siku njema.

Asanteni.
 
Za saa hizi ndugu zangu.

Leo nilienda hospitali na kaka yangu kumsindikiza kupigwa ultrasound. Baada ya vipimo kumalizika akakutwa na jiwe kwenye kibofu cha mkojo la 0.72mm.

Amepewe cystones lakini hazimsaidii, nilikuwa naomba ushauri wa dawa ya asili au hata za dukani zinazoweza msaidia.

Muwe na siku njema.

Asanteni.
poleni sana, mdogo wangu alisumbuliwa muda mrefu na hiko kitu lakini alifanyiwa upasuaji na alitolewa kwa sasa yupo safi kabisa tunamshukuru mungu
 
Back
Top Bottom