Lucy Mbasha
Member
- Jul 14, 2014
- 6
- 1
Za saa hizi ndugu zangu.
Leo nilienda hospitali na kaka yangu kumsindikiza kupigwa ultrasound. Baada ya vipimo kumalizika akakutwa na jiwe kwenye kibofu cha mkojo la 0.72mm.
Amepewe cystones lakini hazimsaidii, nilikuwa naomba ushauri wa dawa ya asili au hata za dukani zinazoweza msaidia.
Muwe na siku njema.
Asanteni.
Leo nilienda hospitali na kaka yangu kumsindikiza kupigwa ultrasound. Baada ya vipimo kumalizika akakutwa na jiwe kwenye kibofu cha mkojo la 0.72mm.
Amepewe cystones lakini hazimsaidii, nilikuwa naomba ushauri wa dawa ya asili au hata za dukani zinazoweza msaidia.
Muwe na siku njema.
Asanteni.